kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Hello bosses
Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.
Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......
Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).
Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.
Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN
UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.
Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'
===============>
UPDATE
Kwa wanaotumia windows ukiweka TOR browser itakuconnect moja kwa moja na unaweza kuitumia kufungua web ambazo hazipatikani kama youtube na jf
============>
UPDATE 2
Maelekezo na link ya orbot App yapo kwenye hii comment
Post in thread 'Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala' Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala
========>
NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN
Happy Surfing!
~Kali Linux
Kwa hali ya sasa kumekua na wimbi la watu kukimbilia VPN ili kuaccess internet kwa wanaopata shida ya internet breakdown. Kutumia VPN kuna madhara yake ukiachana na slow speed kwa baadhi ya VPN providers.
Madhara makubwa ya kutumia VPN ni kwamba VPN provider wako anaweza kuona kila data zako unazotuma na kupokea hivyo akitaka kujua umesurf nini ni rahisi kwake kufanya hivyo. Kwa wanaotumia apps au websites ambazo hazifanyi end to end encryption au hazina ssl wako kwenye hatari zaidi ya kuingiliwa kwenye mawasiliano yao, kuibiwa passwords etc......
Kwenye dark web kuna hackers huwa wanatoa password dumps zinazokuwa zimebeba passwords zinazotumika mara kwa mara na moja ya chanzo cha hizo data huwa ni passwords zinazotumwa kwenye websites ambazo hazina ssl (requests & data sent or received to/from the server are not encrypted) pamoja na data kutoka kwenye VPN(hasa free VPNs).
Pia VPN providers wana uwezo wa kuuza data zako bila wewe kujua.
Suluhisho la hii ni kutumia TOR circuit. Sitoelezea kiundani sana ufanyaji kazi wa tor circuit lakini kiufupi ni kwamba request yako inapitishwa kwenye nodes mbalimbali kabla ya kutoka na kuingia kwenye exit node yako. Hii ni tofauti na VPN za kawaida kwa sababu kwnye VPN unakua umepewa Server moja ifanye kazi kama intermediary wako, so ni kama vile unaiambia server ikutafutie kitu fln au i-fanye login sehemu fln etc..... Kwa TOR circuit request yako haitofuata route moja bali requests tofauti zinaweza kufuata routes tofauti ila zikawa na exit node moja ambayo ndio inakulink ww na TOR circuit, hii inaondoa uwezekano wa requests zako kuwa logged sehemu moja kama ilivyo kwa VPN
UNAJIUNGAJE NA TOR CIRCUIT.?
Kwa wenye smartphone kuna app inaitwa ORBOT Tor, na pia nadhan kuna windows version yake. Download kisha weka kwenye kifaa chako na itakuuliza ku-enable 'Built in VPN', iruhusu kisha utachagua apps zipi zitumie TOR circuit. ORBOT TOR ni rahisi kutumia na inajieleza.
Kwa wanaotumia parrot OS kujiunga na TOR circuit ni kitendo cha 'one-click; tu. Fungua menu kisha chagua 'Anon-surf' then 'Start Anon-surf'
===============>
UPDATE
Kwa wanaotumia windows ukiweka TOR browser itakuconnect moja kwa moja na unaweza kuitumia kufungua web ambazo hazipatikani kama youtube na jf
============>
UPDATE 2
Maelekezo na link ya orbot App yapo kwenye hii comment
Post in thread 'Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala' Kama hauwezi kulipia VPN Tumia TOR circuit bure kama mbadala
========>
NOTE:
WATU WENGI HUHUSISHA TOR NA DARK WEB LAKINI TOR CIRCUIT INAWEZA PIA KUKUSAIDIA KU-BROWSE INTERNET ANONYMOUSLY NA KUEPUKA USUMBUFU WA KUTOINGIA KWENYE APPS AU WEBSITES AMBAZO ZIMEZIMWA KWENYE ENEO ULIPO. SO TOR CIRCUIT HAITUMIKI KWA DARK WEB TU LAKINI NI ALTERNATIVE NZURI YA VPN
Happy Surfing!
~Kali Linux