Kama hawa akina Wenje ndio watu ambao Mbowe anawategemea basi Wanachadema watakuwa wamepoteza

Kama hawa akina Wenje ndio watu ambao Mbowe anawategemea basi Wanachadema watakuwa wamepoteza

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Aiseeh!

Uongo unasifa zake. Unakanuni zake. Uongo unahitaji watu wenye Akili kubwa ili kuufanya uaminike na uonekane ni KWELI.

Sasa nimemsikiliza Wenje nikaishia kucheka tuu. Kama hawa ndio watu ambao Mbowe anawategemea na ndio nguzo itakayobaki ya CHADEMA Basi Wanachadema watakuwa wamepoteza.

Uongo wa kitoto Kabisa.
Hata watoto wa zama hizi wa elfu mbili kuwapa Uongo kama huu ni kutaka wakudharau tuu.

Ati tangu 2022 alikuwa Team Lisu 😂😂😂

Nawapa Kanuni, huwezi kuwa muongo Mzuri kama sio Msemaji WA kweli mzuri.

Mtu yeyote ambaye ni Msema kweli mzuri inatarajiwa atakuwa na uwezo mzuri wa kutunga uongo unaofanana na Ile kweli anayoisemaga.

Ili Uongo uaminike na uonekane ni KWELI lazima usemwe na mtu aliyezoea kusema UKWELI.

Sitafundisha kila kitu.

Haya!
 
Inawezekana hata Mbowe mwenyewe huko alipo kaenda kuchekea chooni, si vioja hivi.

Team mbowe ni kama haina mipango. Ipoipo tuu.

Sijui haina watu wanaoaminiwa na jamii kama wasema Kweli.

Wamchukue Malisa Yule, baadhi ya watu wanamuamini kisha watunge Uongo unaofanana na kweli uongo wenye Akili wampe a-present.

Sasa unampa mtu ambaye hata haaminiki atoe tuhuma hiyo si Sawa na zero plan, zero result
 
Aiseeh!

Uongo unasifa zake. Unakanuni zake. Uongo unahitaji watu wenye Akili kubwa ili kuufanya uaminike na uonekane ni KWELI.

Sasa nimemsikiliza Wenje nikaishia kucheka tuu. Kama hawa ndio watu ambao Mbowe anawategemea na ndio nguzo itakayobaki ya CHADEMA Basi Wanachadema watakuwa wamepoteza.

Uongo wa kitoto Kabisa.
Hata watoto wa zama hizi wa elfu mbili kuwapa Uongo kama huu ni kutaka wakudharau tuu.

Ati tangu 2022 alikuwa Team Lisu 😂😂😂

Nawapa Kanuni, huwezi kuwa muongo Mzuri kama sio Msemaji WA kweli mzuri.

Mtu yeyote ambaye ni Msema kweli mzuri inatarajiwa atakuwa na uwezo mzuri wa kutunga uongo unaofanana na Ile kweli anayoisemaga.

Ili Uongo uaminike na uonekane ni KWELI lazima usemwe na mtu aliyezoea kusema UKWELI.

Sitafundisha kila kitu.

Haya!
kaniacha hoi kasema lissu na lema walitaka kumpindua mbowe akiwa gereza sasa wangempinduje wakati lissu yupo ubeligiji na lema yupo canada last time alisema lissu akiwa ubaligiji alimuomba samia amwachie mbowe,huyu jamaa kwa chai kha!
 
kaniacha hoi kasema lissu na lema walitaka kumpindua mbowe akiwa gereza sasa wangempinduje wakati lissu yupo ubeligiji na lema yupo canada last time alisema lissu akiwa ubaligiji alimuomba samia amwachie mbowe,huyu jamaa kwa chai kha!

Anaulizwa pesa ziliingia mfuko WA chama, Lisu, Mbowe, na msigwa sio wahasibu Wala hawahusiki na mambo ya fedha. Wanaweza kutumia hizo fedha za join the chain. Anaishia kujiumauma
 
Wasomi na watu akili kubwa walisha jitenga na CDM muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom