Kama hawa wangetengeneza couple hapa JF, zingenoga sana

Hahaha na mambo yenyewe ndo haya
Daaaahhhh!!
Nimepata maswali mengi sana ya kufanya simple research mojawapo ikiwa ni.

Mtu akifika Menopause bado anafaa kwa matumizi?

Najitafutia CV za hapa na pale maana Dunia ndio iko kwenye mwendokasi lazima nisiachwe nyuma[emoji23] [emoji23]
 
Daaaahhhh!!
Nimepata maswali mengi sana ya kufanya simple research mojawapo ikiwa ni.

Mtu akifika Menopause bado anafaa kwa matumizi?

Najitafutia CV za hapa na pale maana Dunia ndio iko kwenye mwendokasi lazima nisiachwe nyuma[emoji23] [emoji23]
Hahaha a anafaaa kabisaaaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lakini tukumbuke kiporo na chakula kipya ladha hazifanani
Ujue wahenga ni wajuzi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…