Mbezi,kigamboni,Arusha etc kuna nyumba kubwa na nzuri kuliko hiyo. Hapo hamna hata fence,garden,geti la ukweli na hata haijamaliziwa vizuri. Tuache utani wasanii wetu wanadeserve more than this. Nimepita leo sehemu nimesimama dakika kama tatu nashangaa nyumba sasa ukija hadi hadi kwenye mitandao ya kijamii na kusifia hii nyumba kwamba watanzania tuige nakushangaa. Anyway amejitahidi coz hao wengine hawana hata vibanda,shame kwa wasanii wetu.
Mbezi,kigamboni,Arusha etc kuna nyumba kubwa na nzuri kuliko hiyo. Hapo hamna hata fence,garden,geti la ukweli na hata haijamaliziwa vizuri. Tuache utani wasanii wetu wanadeserve more than this. Nimepita leo sehemu nimesimama dakika kama tatu nashangaa nyumba sasa ukija hadi hadi kwenye mitandao ya kijamii na kusifia hii nyumba kwamba watanzania tuige nakushangaa. Anyway amejitahidi coz hao wengine hawana hata vibanda,shame kwa wasanii wetu.
Mbezi,kigamboni,Arusha etc kuna nyumba kubwa na nzuri kuliko hiyo. Hapo hamna hata fence,garden,geti la ukweli na hata haijamaliziwa vizuri. Tuache utani wasanii wetu wanadeserve more than this. Nimepita leo sehemu nimesimama dakika kama tatu nashangaa nyumba sasa ukija hadi hadi kwenye mitandao ya kijamii na kusifia hii nyumba kwamba watanzania tuige nakushangaa. Anyway amejitahidi coz hao wengine hawana hata vibanda,shame kwa wasanii wetu.
Ongera zake