Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Jana nimemsikia mkuu wangu kaka Yangu msemaji wangu wakimhoji kuhusu UWANJA
Simple akasema kaulizen tff waliopokea wale waliokuja kukagua wakatangaza kuufungia
Nirudi kwenye madaa HAPO juu
Nimemsikia mkuu WA MKOA MWANZA akilalamika UWANJA umefungiwa
Akaita viongozi WA UWANJA JE Kuna mtu amekuja kukagua huu UWANJA hapana
KUNA mtu amewajuxa HATA kwa simu wanakuja kukagua
Hapana
Meneja akaulizwa JE wamekwambia UWANJA unatakiwa kufanyiwa ukarabatibwapi kwa maandishi
Hapana
Hawa watu wamepata nguvu wapi kufungia UWANJA wetu
Alilalama mkuu WA MKOA
Sasa najiulizaaaaaaaaa
Uwanja WA mkapa umefungiwa
Msemajiw wetu ameulizwa akasema waulizen tff waliowapokea waliokuja kukagua
Kumbe principle Iko wazi wanatakiwa kutuma watu MWANZA wakakague WAANDIKE ripoti zao wapi pa kurekebisha
.narudia Tena kama meneja amemwambia kweli mkuu WA MKOA WA MWANZA kuhusu UWANJA WA kirumba hahaha mkaguxi
Hawa WAHUSIKA WANAHITAJI maombi maalum ya mwamposaa na kama possible tuwaombee kwenye huu mfungo wakabadilike
Tusali
Neema ya Bwana wetu.....
Simple akasema kaulizen tff waliopokea wale waliokuja kukagua wakatangaza kuufungia
Nirudi kwenye madaa HAPO juu
Nimemsikia mkuu WA MKOA MWANZA akilalamika UWANJA umefungiwa
Akaita viongozi WA UWANJA JE Kuna mtu amekuja kukagua huu UWANJA hapana
KUNA mtu amewajuxa HATA kwa simu wanakuja kukagua
Hapana
Meneja akaulizwa JE wamekwambia UWANJA unatakiwa kufanyiwa ukarabatibwapi kwa maandishi
Hapana
Hawa watu wamepata nguvu wapi kufungia UWANJA wetu
Alilalama mkuu WA MKOA
Sasa najiulizaaaaaaaaa
Uwanja WA mkapa umefungiwa
Msemajiw wetu ameulizwa akasema waulizen tff waliowapokea waliokuja kukagua
Kumbe principle Iko wazi wanatakiwa kutuma watu MWANZA wakakague WAANDIKE ripoti zao wapi pa kurekebisha
.narudia Tena kama meneja amemwambia kweli mkuu WA MKOA WA MWANZA kuhusu UWANJA WA kirumba hahaha mkaguxi
Hawa WAHUSIKA WANAHITAJI maombi maalum ya mwamposaa na kama possible tuwaombee kwenye huu mfungo wakabadilike
Tusali
Neema ya Bwana wetu.....