Kama hujaishi uswazi hutaielewa hii

JMF

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
1,758
Reaction score
2,770
Unatumwa dukani kwa mangi ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu wewe unaamua kupitia sehem unanunua maandazi ya 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....

Hahahaha.....

Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy✋✋✋
 
Hatari afu wali jikoni unakauka wanasubiri mafuta haha hahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…