Unatumwa dukani kwa mangi ukanunue mafuta ya kupikia unapewa 1000/= hafu wewe unaamua kupitia sehem unanunua maandazi ya 100 ili ukanunue mafuta ya 900/=
Na ukafika wanakouza mafuta wamefunga....
Hahahaha.....
Apo ndo kutafuta mafuta mpaka phamacy✋✋✋