UKIMWI ni kama bahati nasibu nyingine, yaani "kadri unavyoshiriki ndivyo unajiongezea nafasi ya kujishindia"
Kwa maana ya kuwa kama wewe ni mtu mwenye bahati sana, yaani ukishiriki bahati nasibu tu unashinda basi ni rahisi sana kupata UKIMWI ila kama wewe una gundu huwa haushindi kabisa kwenye bahati nasibu basi huwezi kupata UKIMWI.