Mzalendomorogoro
Member
- Mar 15, 2018
- 26
- 36
Watu wengi ambao hatujawahi kupenda au kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi hatujawahi kuumia tunaishi kwa furaha na amani ya moyo, hivi ni kweli kama hujawah penda huwezi kuumia kwenye mapenzi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengi ambao hatujawahi kupenda au kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi hatujawahi kuumia tunaishi kwa furaha na amani ya moyo, hivi ni kweli kama hujawah penda huwezi kuumia kwenye mapenzi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja waje wanaopenda penda hovyo hovyo
Kumbe kuna watu wengine pia wanafinya.Brother kinachoumiza watu sio upendo , ni kuamini kuwa upo mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo huanzia pale MTU unapenda kisha unaingia gharama nyingi kisha mnaachana maumivu yake c ya Nchi hii , ukianza kufikiria mtonyo wako akili inavurugika ,Watu wengi ambao hatujawahi kupenda au kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi hatujawahi kuumia tunaishi kwa furaha na amani ya moyo, hivi ni kweli kama hujawah penda huwezi kuumia kwenye mapenzi ?
Hapo sasa ndio unaanza kuteseka vibaya mno,Kumbe kuna watu wengine pia wanafinya.
[emoji848][emoji848][emoji848]Watu wengi ambao hatujawahi kupenda au kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi hatujawahi kuumia tunaishi kwa furaha na amani ya moyo, hivi ni kweli kama hujawah penda huwezi kuumia kwenye mapenzi ?
Ujengewe mnaraTatizo huanzia pale MTU unapenda kisha unaingia gharama nyingi kisha mnaachana maumivu yake c ya Nchi hii , ukianza kufikiria mtonyo wako akili inavurugika ,
Ushauri: Wanaume tusipende kugharamia Sana mwanamke ambaye hujamuoa
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Point 🤜Na ukishaumia hutawahi penda tena