Miaka ya 70 ilikuwa ni desturi kwa wanafunzi wa sekondari kuongea kiingereza wakati wa LIKIZO KUONYESHA KUWA NI WASOMI.Jamaa mmoja alipoambiwa anajikweza mno wakati ni form 1 akajibu "You what you. To do you do you to say you say me." Ikawa mwisho wa ubishi
Zamani wajuaji wa hizo lugha walikuwa wachache ndo mana ngeli ilikuwa title kubwa kwao,siku hizi ngeli si kitu hizi idadi ya waongeaji imezidi mno so hakuna wa kumtambia