Kama huna hela usiombe namba

Kama huna hela usiombe namba

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
21,952
Reaction score
43,265
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki njia kuu kwa kweli.

Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajidai katulia na mmoja huyo Masikini mwenzetu yaani.

1621413665564.png

 
Yamenikuta mimi haya mademu wa kali wote nimetonhoza mwezi huu na wanakubali hilo halina shida tatizo pesaaaa wanaanza na true love hawaombi vocha wanapiga wenyewe usiku mnaongea ila ukiomba tuu game hapo ndo balaaa....

Nina mengi nimejifunza tutafte pesa wanawake wazuri wote wapo single na hawakatai aiseee.
 
Ungejua wenye hela ndio wagumu kuhonga kuliko sisi masikini.. sisi masikini ndio tunawabeba wanawake sana kwa vi hela vyetu viduchu

Wanawake wanalijua hilo.. kumpata tajiri muhongaji sio kazi ndogo..

Matajiri ama wenye hela waliotafuta wenyewe ni wabahili sana. Maana wanaheshimu hela...
 
Wanawake sometimes wanaomba hela kama chujio!...kupunguza watongozaji!
Pesa ni kama boya LA kuogelea!

Kama huna pesa unatakiwa uoneshe ubaharia wa kuogelea bila maboya!

Piga mbizi hadi demu aamini hutamzamisha mkiingia bahari ya malavdav!

Ukishazama nae majini hana ujanja unajipigia tu kama pombe ya ngomani
 
Aisee ni balaa namna tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki Njia kuu kwa kweli.

Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajida katulia na mmoja huyo Maskini mwenzetu yani.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hahahah pole sana
 
Wanawake sometimes wanaomba hela kama chujio!...kupunguza watongozaji!
Pesa ni kama boya LA kuogelea!

Kama huna pesa unatakiwa uoneshe ubaharia wa kuogelea bila maboya!

Piga mbizi hadi demu aamini hutamzamisha mkiingia bahari ya malavdav!

Ukishazama nae majini hana ujanja unajipigia tu kama pombe ya ngomani
Mkuu kivipi yani??? Demu anakuomba hela ukimwambie huna utamsikia tena kweli...

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kula tunda kimasikhara tuhamia hapa sasa[emoji23][emoji23][emoji23] ni nacho jua mwanaume ukiwa smart na una pesa aisee utawala sana mademu yaani hata usipo wa honga wanakujaga wenyeweeee***** kuna jamaa yangu alinifinyia hili pande nika daka. [emoji2958]
 
Baada ya kula tunda kimasikhara tuhamia hapa sasa[emoji23][emoji23][emoji23] ni nacho jua mwanaume ukiwa smart na una pesa aisee utawala sana mademu yaani hata usipo wa honga wanakujaga wenyeweeee***** kuna jamaa yangu alinifinyia hili pande nika daka. [emoji2958]

Huu ni ukweli... vaa vizuri, tembelea gari zuri la bei rahisi tu.. jipya jipya hata kama ni passo ila iwe kama mpya, ishi sehemu nzuri hata kama umepanga, kwako vitu vya ndani geto viwe vizuri hata kama vichache tu, usiwe na vitu used used, wewe pia kula vizuri..

Hapo wanawake utawakinai mwenyewe kama ukiwa hujaoa.. na unapenda uzinzi... watakupa sana bila kuwahonga
 
Mm niliacha kutongoza na badala yake naenda kununua papuchi yaan nachagua ninazotaka unajua kwann?...kuna manzi wengi tu huwa nawatongoza na nahonga vya kutosha. guess what mwisho wa siku nakuja kugonga na kondom,kavu nakuwa naona ni kujitosa sana.yaan nihangaike na demu miezi miwili nichunwe vya kutosha ukipiga mahesabu mpaka unakuja kupewa papuchi ushahonga zaidi ya 300k(hii ni kwa pisi kali yenye tako lakn),

Sasa si bora nikanunue kwa 10k tena napewa siku hyo hyo, no wastage of time,pia nakuwa na uhuru na cm yangi nikirud kwa wife kuliko kwa michepuko mda wote kazi ni kuwablock na ku-unblock kila urudipo nyumbani.Ni MATESO,
KUNUNUA PAPUCHI NDO MPANGO MZIMA!
 
Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki Njia kuu kwa kweli.

Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajida katulia na mmoja huyo Maskini mwenzetu yani.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Wewe si ndio King wa MASIHARA... Wapige KIMASIHARA tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
 
Back
Top Bottom