Hahahah pole sanaAisee ni balaa namna tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki Njia kuu kwa kweli.
Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajida katulia na mmoja huyo Maskini mwenzetu yani.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Aaha mkuu kutulia kwa mwanamke siwezi kukusemea lakini hapana... Kuna mwanamke sikufikiria kabisa yaniNa ukiona demu katulia haangaikina wanaume basi ujue ana hela au nimekosea..??
Mkuu hapana aiseee.. Nimetokwa kupigwa zinga la 50K kikoba hapo hata chupi sijaona.. Nikaona sasa Mungu anaaamua kuninyoosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah nilijua mimi tuu kumbe tupo wengi...[emoji16][emoji16]
Mkuu kivipi yani??? Demu anakuomba hela ukimwambie huna utamsikia tena kweli...Wanawake sometimes wanaomba hela kama chujio!...kupunguza watongozaji!
Pesa ni kama boya LA kuogelea!
Kama huna pesa unatakiwa uoneshe ubaharia wa kuogelea bila maboya!
Piga mbizi hadi demu aamini hutamzamisha mkiingia bahari ya malavdav!
Ukishazama nae majini hana ujanja unajipigia tu kama pombe ya ngomani
Baada ya kula tunda kimasikhara tuhamia hapa sasa[emoji23][emoji23][emoji23] ni nacho jua mwanaume ukiwa smart na una pesa aisee utawala sana mademu yaani hata usipo wa honga wanakujaga wenyeweeee***** kuna jamaa yangu alinifinyia hili pande nika daka. [emoji2958]
Wewe si ndio King wa MASIHARA... Wapige KIMASIHARA tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]Aisee ni balaa namba tatu zote nilizoomba nimepiga hesabu nikisema niwape hela walizoniomba ni kama Laki Moja inapukutikaa chap..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hakuna cha mke wa mtu wala nini wote wanalia njaaaa mara sijui vikoba sijui naumwaa khaa acha nibaki Njia kuu kwa kweli.
Ukiona mwanaume malaya jua ana Helaaa. Ukiona mwanaume anajida katulia na mmoja huyo Maskini mwenzetu yani.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakuelewa mkuu na HongeraSisis ambao hatuna hata demu mmoja unatuzungumziaje daktari[emoji2369]
Kwa kweli hapa naona nishakwamaaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe si ndio King wa MASIHARA... Wapige KIMASIHARA tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]