Sahihi kabisa na hicho ndio kipimo cha akili,kusolve issue au matatizo yanayokuzunguka au yanayoizunguka jamii yako,yani uyatawale mazingira na sio mazingira ndio yakutawale,badala ya kucomplain kila kitu,weka solution ya jambo hilo,kama kuna tatizo unaweza kulitatua basi litatue kabla hujacomplain.