Kama huwez danganya

Kama huwez danganya

2k Genius

Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
88
Reaction score
9
Habari,
im calvin..aged 23 frm dar..kitaaluma mi ni mwalimu..nahitaji msichana mzuri na mkeli,ambae ataniweka waz kila ki2,ambaye hapend uongo,co mwenye fikra potofu..ambaye atanipenda jinsi nilivyo..kiukwel adui yangu mkubwa ni uongo na huwa nashindwa kustahimil m2 akinidanganya..hvo kama uko alright with dat...niPM nitakupa mawasiliano zaidi.
Thanx
 
Mwalimu mzima unachanganya namba na herufi?
Na wanafunzi wako unawafundisha lugha ya sms?
 
We mwenyewe muongo halafu hutaki muongo unachekesha!!!!!!
 
Back
Top Bottom