Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
mkuu diamond ni celebrity na watu wengi wanapenda kujua habari zake,pia habari za gossip na celebrities,relationship ndio zinazopendwa sana na kuuza sana,na zipo dunia nzima
ndio maana kuna magazet mengine ya siasa pia,magazet ya udaku yapo dunia nzima na ayakwepek,na ndio yanayoongozwa kwa kuuzwa
Akibainika muathirika wa jambo gani? Maana kwa utunzi wa namna hiyo wa Kichwa cha habari nina wasiwasi imekuzwa tu ili watu wanunue gazeti....si ajabu ndani ukakuta wanaelezea uathirika hata wa mafuriko.
Kwa hiyo huko chit chat kina bishanga , nicas mtein baba v, madamme , na secretary ndio wanakufundisha kuwa ukiendekeza zinaa unakuwa mwathirika wa mafuriko
Akili za mbayuwayu..
Umetisha mkuu
Arusha oyeeeee
Wasalimie mabillionaire
Kwa hiyo huko chit chat kina bishanga , nicas mtein baba v, madamme , na secretary ndio wanakufundisha kuwa ukiendekeza zinaa unakuwa mwathirika wa mafuriko
Akili za mbayuwayu..
Umetisha mkuu
Arusha oyeeeee
Wasalimie mabillionaire
Koma we.
Madame ndo demu wako.
Sura kama kwapa la beberu.
Koma we.
Madame ndo demu wako.
Sura kama kwapa la beberu.