Haha,wanawake kweli bado mambumbumbu,hivi nyie shule zinawasaidia kweli!,hivi si ndo nyie mnasemaga ati mahali ni kama kuwa nunua sasa huyu mama Dimond sasa ndo kaamua kumnadi mwanae kuwa atamnunua Wema kwa Mil.100!,dah,hii ni hatari,na siku flani nae yule Diva sijui Loveness love eti na minywele yake ya maiti anataka kununuliwa kwa mil.500!,khaa,hivi nyie nani kawaroga!,sasa ngoja niwaambie kitu,wanaume wengi wanajua kabisa nini nyie mnakitaka kutoka kwao,ni pesa si kingine unless akuchunguze sana akaridhika,sasa wewe unaetaka kuolewa kwa mapesa mengi huwa unajiuliza ni exchange ya aina gani unaifanya?,beuty for money!,sasa sisi wanaume tunajua after several years uzuri wako utaanza kupotea akati pesa zetu zitakua zinaongezeka na we sio source ya hiyo increment!,je,utategemea mumeo ataendelea kukubali kufanya exchange unayofanya nae?,nope,lazima tu atakutafutia wenzako walio wazuri kwa kipindi hicho ambacho we makunyanzi yamekujaa kila sehemu!,na mavipodozi mnayoytumia dah,nawaonea huruma!,muogope sana mtu anae take advantage of your poverty na kuamua kukutumia atakavyo!,ni hatari!