Kama Innocent Bashungwa ni Waziri Mkuu ajaye, Majaliwa K. Majaliwa anaweza kuteuliwa Makamu Mwenyekiti Bara kufuta ndoto zake za Urais?

Kama Innocent Bashungwa ni Waziri Mkuu ajaye, Majaliwa K. Majaliwa anaweza kuteuliwa Makamu Mwenyekiti Bara kufuta ndoto zake za Urais?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Yapo mapendekezo ya kumteua Majaliwa K. Majaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM bara. Ipo mipango yakumwandaa Innocent Bashungwa kuwa Waziri Mkuu ajaye endapo CCM itashinda uchaguzi 2025.

Endapo Majaliwa akiwa Makamu Mwenyekiti Bara ndoto yake ya kugombea Urais itaendelea au itazimwa? Endapo itazimwa, wana CCM watakubali kuwa wagombea Urais kutoka kanda ya ziwa baada ya akina January kufungiwa katika kabati la siasa za majukwaani?

Je, endapo wagombea wataendelea kuandaliwa na Mwenyekiti, haupo uwezekano watu wenye nguvu ya umma wakaanza kutafuta madaraka nje ya CCM? Au wataendelea kusimama wakishuhudia ndoto zao zikizimwa?
 
Naona Bashungwa ana nyota yake yeye ni awe PM na pia awe Raisi.. Vizuri

Anapaa na nyota yake kama Makonda alivyo na nyota tayari kubwaa, Makonda akiwania uraisi anapata ndani ya sekunde.

Kazi iendeleee
 
tutakuwa wajinga sana kama majaliwa eti RAIS...... anayeweza kudanganya msikitini nje ya msikiti itakuwaje au ikoje
 
Uchambuzi mzuri.

Ni dhahiri CDM imeithibitishia Dunia kuwa ni chama kilichokomaa.
 
Kiroho waziri mkuu hawi Rais huo ni mwiko wa kiroho ndio maana wengi hawakutoboa!hata majaliwa nadhani watamficha Ili asigombee japo uwezo anao!!

Bashungwa kupata u pm ni demotion kwake yule jamaa anaandaliwa kuwa Rais kabisa!

Pm ni Doto biteko yaani at step up kirahis sana pale juu!

Mengine uhai ndio utaamua coz hizi ni zama za vifo vya viongozi Ili kuleta mageuzi makubwa ya nchi yetu!!
 
Huyo Bashungwa ana nini cha jaabu? Kila siku anahamishwa wizara bila matokeo chanya popote pale.
 
Kiroho waziri mkuu hawi Rais huo ni mwiko wa kiroho ndio maana wengi hawakutoboa!hata majaliwa nadhani watamficha Ili asigombee japo uwezo anao!!

Bashungwa kupata u pm ni demotion kwake yule jamaa anaandaliwa kuwa Rais kabisa!

Pm ni Doto biteko yaani at step up kirahis sana pale juu!

Mengine uhai ndio utaamua coz hizi ni zama za vifo vya viongozi Ili kuleta mageuzi makubwa ya nchi yetu!!
Sheikh mnyeshani aliliongelea hilo
 
Yapo mapendekezo ya kumteua Majaliwa K. Majaliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM bara. Ipo mipango yakumwandaa Innocent Bashungwa kuwa Waziri Mkuu ajaye endapo CCM itashinda uchaguzi 2025.

Endapo Majaliwa akiwa Makamu Mwenyekiti Bara ndoto yake ya kugombea Urais itaendelea au itazimwa? Endapo itazimwa, wana CCM watakubali kuwa wagombea Urais kutoka kanda ya ziwa baada ya akina January kufungiwa katika kabati la siasa za majukwaani?

Je, endapo wagombea wataendelea kuandaliwa na Mwenyekiti, haupo uwezekano watu wenye nguvu ya umma wakaanza kutafuta madaraka nje ya CCM? Au wataendelea kusimama wakishuhudia ndoto zao zikizimwa?
Kwa uchaguzi upi? Kwa ushindi gani?
 
Back
Top Bottom