Kama issue ya gazeti la Uhuru siyo spinning, basi Mwenyekiti wa CCM Hana watu kabisa

Kama issue ya gazeti la Uhuru siyo spinning, basi Mwenyekiti wa CCM Hana watu kabisa

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?

Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
 
Issue sio kutokuwa na watu peke yake, inawezekana nae hayupo vizuri kwenye kupanga mbinu zake ili kukabiliana na maadui zake chamani.
Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.

Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
 
Jueni ameingia hapo baada ya janga la kufariki kwa JPM na makosa anayoyafanya ni mengi kama vile kuwaweka watu soft kwenye nafasi za vyuma, Mambo ya Nje, kuwatoza kodi masikini wanaopeana au kusaidiana vijisenti na vilio vya hao masikini wanaotozwa vitampeleka pabaya na ndiyo utaona hata ndani ya CCM wako lukika wasiomkubali kiasi kujitoa kafara ya kupoteza kazi zao kama hao wafanyakazi wa gazeti la Uhuru la chama, aisome sana hiyo picha, kwa tozo za miamala amechemsha sana, JPM aligombana na hata kuwa adui wa mabilionea wakwepaji kodi huyo anawaita ati ni wawekezaji na kuanza kukusanya pesa za masikini, Washauri wake wote wa maswala ya uchumi ni matumbo tupu.

Kazi yake ni kusafiri tu Dom-Dar hajafika Nanyumba kwa masikini anaowatoza kodi wala hajafika Tanganyika kazi kuwapigia simu wawekezaji ati kuwa Kidiplomasia, kuongea na wezi ndiyo diplomasia hiyo?
 
FB_IMG_16274529504082327.jpg
 
Tangu lini mwanamke akaongoza Taifa na likaenda? Katika nchi Zaid ya 250 duniani, ni mataifa mangapi kiongozi mkuu ni mwanamke? Majibu utakayoyapata jiulize Kwa nini ili Hali duniani tupo jinsia mbili Tu? tunaweza tukalaumiana, kuumizana na kushikana mashati Kwa kichaka kuwa tunamsema Kwa vile ni mwanamke na hvo tumemdharau, lakini kuna wakat tuache nature ifanye kazi!

Kwa mfumo wetu wa kiuongozi na katiba tuliyo nayo na namna mihimili inavyofanya kazi na Kwa maslah mapana ya Taifa, Raisi Samia anapaswa asigombee mwaka 2025.

Yes amechukua kiti alipoishia JPM, amesaidia kumalizia kipind kilichobaki Kwa kuliongoza Taifa, hyo sifa inatosha na Mungu kamheshimisha Sana, kuongoza nchi ni kazi ngumu inahtaj roho ya kiume, atapata stress tu!

Kama ni sifa ya kuwa Rais tayar ashapata, kama ni maslah tayar anayo na hata asipokuwa Raisi ataendelea kuwa nayo bila shida.
Lakini kama ataangalia fame, haya🤷
 
Gazeti la CCM kufungiwa na serikali ya CCM.
Tunasema fisi Kala fisi
 
Tangu lini mwanamke akaongoza Taifa na likaenda,?? Katika nchi Zaid ya 250 duniani , ni mataifa mangapi kiongozi mkuu ni mwanamke?? majibu utakayoyapata jiulize Kwa nini ili Hali duniani tupo jinsia mbili Tu, ?? tunaweza tukalaumiana, kuumizana na kushikana mashati Kwa kichaka kuwa tunamsema Kwa vile ni mwanamke na hvo tumemdharau , lakini kuna wakat tuache nature ifanye kazi ....!! Kwa mfumo wetu wa kiuongozi na katiba tuliyo nayo na namna mihimili inavyofanya kazi na Kwa maslah mapana ya Taifa , Raisi Samia anapaswa asigombee mwaka 2025, ...

Yes amechukua kiti alipoishia JPM, amesaidia kumalizia kipind kilichobaki Kwa kuliongoza Taifa , hyo sifa inatosha na Mungu kamheshimisha Sana , kuongoza nchi ni kazi ngumu inahtaj roho ya kiume , atapata stress tuu...!!!
Kama ni sifa ya kuwa Raisi tayar ashapata, kama ni maslah tayar anayo na hata asipokuwa Raisi ataendelea kuwa nayo bila shida...
Lakini kama ataangalia fame , haya[emoji1745]
German
 
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na salim kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

*Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

*Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

SASA HOJA YANGU NI HII kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo BASI POLE YAKE MWENYEKITI WA CCM MAANA KAMA INTELEJENSIA IPO VIZURI GAZETI TANGU LIKO KIWANDANI LINGEWEZA KUZUIWA KUCHAPISHWA ,INASHANGAZA SANA NI MIKONO MINGAPI LILIPITA KABLA HALIJACHAPISHWA?

kama ni kweli hakukuwa na spinning BASI HANA WATU KABISAA NI BORA ATAMBUE HILO MAPEMA
SUKUMA GANG kazini

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mimi namshangaa huyo katibu mkuu. Ameona kama vile kaonyesha uwezo flani wa uongozi kwa kujitokeza kwenye vyombo vya habari na kutangaza kulifungia kwa wk 1 tu. Kauza sura.
Mbona vingine vilifungiwa miaka?!
Hatujaambiwa wahusika walipewa nafasi kujitetea...nk. kakurupuka kwa kusoma kichwa cha habari,kachukua hatua. Makofi kwa katibu, ni kiboko chao
 
Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.

Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Chizi unamanisha yaani Augustino Lyatonga Mrema huyu huyu Mzee wa Vunjo akisimama na chama chake cha TLP aka Jogoo [emoji239]!?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?

Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
Na kwa mfano kweli asipogombea 2025 sura zetu tutazificha wapi tuliotia mashashadio...na mhariri na mkurugenzi wake na mwenzake waliosimamishwa tutawaangalia kwa jicho gani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:

* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi

* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea

* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?

Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?

Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
Hiyo namba tatu pigia msitari.. Na yatafungiwa mengi SSH n dikteta la kike nyie subirini
 
Back
Top Bottom