Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
CCM hawajahi kushinda chaguzi yoyote hata Tony Diaalo alikiri hivyo last timeUchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.
Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Naweza kusema walau magufuli alikua na uugwaji mkono. Ila huyu mama sio siri mitaa haimkubali, wale waliokua magufuli damdam hawamuelewi kabisa uyu maza.Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.
Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Kwa interview ile, ni wazi kuwa;Uchaguzi ukiitishwa leo halafu uwe wa huru na haki huyu mama hata akipambana na mrema atashindwa vibaya sana watu wameshakata naye tamaa kabisa nimesikiliza na kuangalia ile interview inasikitisha sana she is out of touch maskini ya Mungu inashangaza sana.
Anaishi kwenye dunia yake kabisaaaa
Ujue yule ni mwanamke ukumbuke alikutana na mwanaume, inawezekana alipangwa vizuri cha kusema, Bahati mbaya ndo hivo tenaIssue sio kutokuwa na watu peke yake, inawezekana nae hayupo vizuri kwenye kupanga mbinu zake ili kukabiliana na maadui zake chamani.
Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:
* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi
* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea
* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?
Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?
Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
Namba tatu kwani hilo ni eneo langu katika muktadha wa political spinning, diluting double standards absence.Kuna matatu watu wameyafikiria kutokana na issue ya gazeti la uhuru jana plus reaction yake:
* Kuzima mjadala wa mahojiano ya SSH na Salim Kikeke amabayo kiukweli yalikuwa ni disaster sana sana yaliongeza sympathy kwa mbowe na kufanya Rais aonekane katili na aliyeongea vitu visivyokuwepo kwa mfano kusema tayari kuna watu wameshahukumiwa kwenye hiyo kesi
* Kutengeneza habari kama ile ili kuwa alert watu fulani kwamba SSH bado yupo sana haondoki 2025 hivyo wasiwe na ndoto ya kugombea
* Kutengeneza mazingira ya kufungia magazeti mengine kama raia mwema ambalo kwa sasa ni la moto kwelikweli na lina wapenzi wengi mtaani ili wakilalamika waambiwe mbona hata uhuru lilifungiwa?
Sasa hoja yangu ni hii kama hayo yote au hizo assumptions ni za uongo basi pole yake mwenyekiti wa CCM maana kama intelejensia ipo vizuri gazeti tangu liko kiwandani lingeweza kuzuiwa kuchapishwa, inashangaza sana ni mikono mingapi lilipita kabla halijachapishwa?
Kama ni kweli hakukuwa na spinning basi hana watu kabisaa ni bora atambue hilo mapema
Na ni giant wa ulaya nzimaGerman