Jambo kuu nitapenda wasome ni hili, " Njaa isiwazidi nguvu mkafika mahali mkajipendekeza,mkazungumza au kutenda hovyo kwaajili ya matumbo yasiyo na shukran, watafute pesa zao wenyewe kwa manufaa ya kwao wao na familia zao
Wanaweza jiunga kwenye siasa kwa sharti la ukombozi na utetezi wa haki zao na jamii zao sio NJAA ,madhara ya kufanya siasa kwa njaa ni makubwa mno hususan kwa raia wa kawaida