Kama Jeshi la nchi Moja ni Goi Goi katika Kukabiliana na Majanga je, litaweza Kupambana na Jeshi lenye Uweledi na Uzalendo la Rwanda?

Kama Jeshi la nchi Moja ni Goi Goi katika Kukabiliana na Majanga je, litaweza Kupambana na Jeshi lenye Uweledi na Uzalendo la Rwanda?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ujumbe wangu muhimu kwa hilo Jeshi ( nimelisahau ) kwa sasa ni kwamba liachane na Kujimwambafai kwa kufanya Mazoezi ya Ardhi na Anga Ili Kuitisha Rwanda ya Shujaa Rais Paul Kagame.

Na pia niwaombe Wakufunzi wa Makomandoo wa hilo Jeshi ( nililolisahau kwa sasa ) kuwa liachane na Utoto wa kila Siku za Sherehe zao za Kitaifa kutuonyesha na Kututambia wanavyoweza Kukunja Nondo, Kuvunjiana Mbao Migongoni mwao na Kupigana Kung Fu bali watumie muda mwingi kuwapa Utaalam wa Kukabiliana na Majanga makubwa yanayoathiri moja kwa moja Wananchi wao.

Kama ambavyo Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe alishauriwa akajifunze mengi ( hasa Kucheza Mechi za Kimataifa na akakataa ila Aibu kaipata na ataipata zaidi tarehe 9 Novemba, 2022 huko nchini Tunisia ) ndiyo hivyo hivyo nami GENTAMYCINE naliomba hilo Jeshi la hiyo nchi kuwa isione Aibu kwenda nchini Rwanda katika Jeshi la Rwanda ili wakajifunze mengi ya Kiuweled na Kiutendaji mpaka kuwa na Akili Kubwa ( ambazo bahati mbaya sana wengi Wao hawana ) ili katika Majanga mengine yatakayowakumba waweze Kukabiliana nayo bila kwenda eneo la Tukio na Kubung'aa bung'aa tu huku wakiwaza Mishahara, Resheni na Pesa yao ya Vinjywaji itatoka lini ili wawahi katika Mabaa Kunywa na Kulewa Chakari na Maendeleo yao ( wengi Wao ) yakiwa ni Sifuri.

Majeshi pekee ambayo kidogo yanaweza Kupambana Kimedani na Jeshi la Rwanda ni la Angola na Uganda pekee ila yaliyobakia hayataishia tu Kupigwa na Rwanda bali hata nchi zao zote zitakuwa part and parcel ya nchi ya Rwanda.

I hope Message sent and delivered!!!
 
Vita huwa ni hasara kwa pande zote, wayamalize mezani
Wakongo pamoja na Kusaidiwa na Kenya na nchi nyingine yenye Kiherehere na ya Burundi ila kwa sasa cha Moto wanakiona na wasipokiwa makini M23 itaitwaa Congo DE nzima kwani sasa imeanza Kukamata Miji Muhimu.
 
Wakongo pamoja na Kusaidiwa na Kenya na nchi nyingine yenye Kiherehere na ya Burundi ila kwa sasa cha Moto wanakiona na wasipokiwa makini M23 itaitwaa Congo DE nzima kwani sasa imeanza Kukamata Miji Muhimu.
Hivi Kwanini congo inawakumbatia fdlr? Inafaidika nao nini?
 
Rwanda itapigana na Kigoma, sio Tanzania!


NB: Majanga yanayotokea na mifumo mibovu ya uokoaji, ni matokeo ya uongozi mbovu wa serikali ya CCM.

Akina Mwigulu wanawaza matumbo yao tu na kununua magari ya kifahari. Vifaa muhimu vya uokoaji sio priority kwao!
 
  • Thanks
Reactions: ibn
Rwanda itapigana na Kigoma, sio Tanzania!


NB: Majanga yanayotokea na mifumo mibovu ya uokoaji, ni matokeo ya uongozi mbovu wa serikali ya CCM.

Akina Mwigulu wanawaza matumbo yao tu na kununua magari ya kifahari. Vifaa muhimu vya uokoaji sio priority kwao!

Watu mnaichukulia poa sana Rwanda…!
Tatizo ni kutembelea nyota ya vita vya Kagera 1978-79.
Usawa huu kama jeshi lako haliko njema kiteknolojia unachapika hadi unachakaa!
 
Rwandan Army ndio waliowanyamazisha Isis hapo Northern Mozambique, hii ni fact ,tusiingize siasa na wengi tulishauri kuwa vikosi vya uokoaji na zimamoto viwe chini ya municipalities, ondoa uaskari kwenye vikosi hivi, jeshi la police wakitakiwa wawe na vikosi vya maji hasa Bukoba, Mwanza,na Musoma,,special units za kukimbizana na opposition's leaders hivyo havikosekani kila kata tunavyo!
 
Ujumbe wangu muhimu kwa hilo Jeshi ( nimelisahau ) kwa sasa ni kwamba liachane na Kujimwambafai kwa kufanya Mazoezi ya Ardhi na Anga Ili Kuitisha Rwanda ya Shujaa Rais Paul Kagame.

Na pia niwaombe Wakufunzi wa Makomandoo wa hilo Jeshi ( nililolisahau kwa sasa ) kuwa liachane na Utoto wa kila Siku za Sherehe zao za Kitaifa kutuonyesha na Kututambia wanavyoweza Kukunja Nondo, Kuvunjiana Mbao Migongoni mwao na Kupigana Kung Fu bali watumie muda mwingi kuwapa Utaalam wa Kukabiliana na Majanga makubwa yanayoathiri moja kwa moja Wananchi wao.

Kama ambavyo Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe alishauriwa akajifunze mengi ( hasa Kucheza Mechi za Kimataifa na akakataa ila Aibu kaipata na ataipata zaidi tarehe 9 Novemba, 2022 huko nchini Tunisia ) ndiyo hivyo hivyo nami GENTAMYCINE naliomba hilo Jeshi la hiyo nchi kuwa isione Aibu kwenda nchini Rwanda katika Jeshi la Rwanda ili wakajifunze mengi ya Kiuweled na Kiutendaji mpaka kuwa na Akili Kubwa ( ambazo bahati mbaya sana wengi Wao hawana ) ili katika Majanga mengine yatakayowakumba waweze Kukabiliana nayo bila kwenda eneo la Tukio na Kubung'aa bung'aa tu huku wakiwaza Mishahara, Resheni na Pesa yao ya Vinjywaji itatoka lini ili wawahi katika Mabaa Kunywa na Kulewa Chakari na Maendeleo yao ( wengi Wao ) yakiwa ni Sifuri.

Majeshi pekee ambayo kidogo yanaweza Kupambana Kimedani na Jeshi la Rwanda ni la Angola na Uganda pekee ila yaliyobakia hayataishia tu Kupigwa na Rwanda bali hata nchi zao zote zitakuwa part and parcel ya nchi ya Rwanda.

I hope Message sent and delivered!!!
We mnyarwanda umekuja tena na kejeli kwa jeshi letu, kazi ya kufurusha mosquito inaandaliwa huko drc.
 
Ujumbe wangu muhimu kwa hilo Jeshi ( nimelisahau ) kwa sasa ni kwamba liachane na Kujimwambafai kwa kufanya Mazoezi ya Ardhi na Anga Ili Kuitisha Rwanda ya Shujaa Rais Paul Kagame.

Na pia niwaombe Wakufunzi wa Makomandoo wa hilo Jeshi ( nililolisahau kwa sasa ) kuwa liachane na Utoto wa kila Siku za Sherehe zao za Kitaifa kutuonyesha na Kututambia wanavyoweza Kukunja Nondo, Kuvunjiana Mbao Migongoni mwao na Kupigana Kung Fu bali watumie muda mwingi kuwapa Utaalam wa Kukabiliana na Majanga makubwa yanayoathiri moja kwa moja Wananchi wao.

Kama ambavyo Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe alishauriwa akajifunze mengi ( hasa Kucheza Mechi za Kimataifa na akakataa ila Aibu kaipata na ataipata zaidi tarehe 9 Novemba, 2022 huko nchini Tunisia ) ndiyo hivyo hivyo nami GENTAMYCINE naliomba hilo Jeshi la hiyo nchi kuwa isione Aibu kwenda nchini Rwanda katika Jeshi la Rwanda ili wakajifunze mengi ya Kiuweled na Kiutendaji mpaka kuwa na Akili Kubwa ( ambazo bahati mbaya sana wengi Wao hawana ) ili katika Majanga mengine yatakayowakumba waweze Kukabiliana nayo bila kwenda eneo la Tukio na Kubung'aa bung'aa tu huku wakiwaza Mishahara, Resheni na Pesa yao ya Vinjywaji itatoka lini ili wawahi katika Mabaa Kunywa na Kulewa Chakari na Maendeleo yao ( wengi Wao ) yakiwa ni Sifuri.

Majeshi pekee ambayo kidogo yanaweza Kupambana Kimedani na Jeshi la Rwanda ni la Angola na Uganda pekee ila yaliyobakia hayataishia tu Kupigwa na Rwanda bali hata nchi zao zote zitakuwa part and parcel ya nchi ya Rwanda.

I hope Message sent and delivered!!!

Wewe ni bwege usiyejua kitu! Toa uchafu wako humu, maana ulichoandika ni utumbo! Unalijua JWTZ wewe! Au unalisikia kupitia redio mbao uliyonayo!
 
Wakongo pamoja na Kusaidiwa na Kenya na nchi nyingine yenye Kiherehere na ya Burundi ila kwa sasa cha Moto wanakiona na wasipokiwa makini M23 itaitwaa Congo DE nzima kwani sasa imeanza Kukamata Miji Muhimu.
"Bado muda kidogo tu utayakana maandishi yako " vijana wa drc wenye ari na waliochoka kuonewa wanasema ama zao ama zetu, ni morale ya hali ya juu sana
 
We mnyarwanda umekuja tena na kejeli kwa jeshi letu, kazi ya kufurusha mosquito inaandaliwa huko drc.

Ukiona anahaha hivi na JWTZ ujue sindano imemwingia patamu! Mara zote husemwa kuwa: UKIONA UNAONEWA WIVU UJUE NI KWA SABABU WEWE NI BORA KULIKO ANAYEKUONEA WIVU, kwa hiyo huyu Kikaragosi ana wivu na JWTZ kwa vile ni bora kuliko vikaragosi vyake anavyosifia! Rwanda kitu gani bwana, hiyo ni sawa na wilaya ya Ngara!
 
Wewe ni bwege usiyejua kitu! Toa uchafu wako humu, maana ulichoandika ni utumbo! Unalijua JWTZ wewe! Au unalisikia kupitia redio mbao uliyonayo!
Hawahawa wajeda tunaoshinda nao kwenye mabar?
 
Ujumbe wangu muhimu kwa hilo Jeshi ( nimelisahau ) kwa sasa ni kwamba liachane na Kujimwambafai kwa kufanya Mazoezi ya Ardhi na Anga Ili Kuitisha Rwanda ya Shujaa Rais Paul Kagame.

Na pia niwaombe Wakufunzi wa Makomandoo wa hilo Jeshi ( nililolisahau kwa sasa ) kuwa liachane na Utoto wa kila Siku za Sherehe zao za Kitaifa kutuonyesha na Kututambia wanavyoweza Kukunja Nondo, Kuvunjiana Mbao Migongoni mwao na Kupigana Kung Fu bali watumie muda mwingi kuwapa Utaalam wa Kukabiliana na Majanga makubwa yanayoathiri moja kwa moja Wananchi wao.

Kama ambavyo Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe alishauriwa akajifunze mengi ( hasa Kucheza Mechi za Kimataifa na akakataa ila Aibu kaipata na ataipata zaidi tarehe 9 Novemba, 2022 huko nchini Tunisia ) ndiyo hivyo hivyo nami GENTAMYCINE naliomba hilo Jeshi la hiyo nchi kuwa isione Aibu kwenda nchini Rwanda katika Jeshi la Rwanda ili wakajifunze mengi ya Kiuweled na Kiutendaji mpaka kuwa na Akili Kubwa ( ambazo bahati mbaya sana wengi Wao hawana ) ili katika Majanga mengine yatakayowakumba waweze Kukabiliana nayo bila kwenda eneo la Tukio na Kubung'aa bung'aa tu huku wakiwaza Mishahara, Resheni na Pesa yao ya Vinjywaji itatoka lini ili wawahi katika Mabaa Kunywa na Kulewa Chakari na Maendeleo yao ( wengi Wao ) yakiwa ni Sifuri.

Majeshi pekee ambayo kidogo yanaweza Kupambana Kimedani na Jeshi la Rwanda ni la Angola na Uganda pekee ila yaliyobakia hayataishia tu Kupigwa na Rwanda bali hata nchi zao zote zitakuwa part and parcel ya nchi ya Rwanda.

I hope Message sent and delivered!!!
Nafikiri huijui vzr kazi ya JWTZ,kwa wanaofuatilia vzr wanajua mission za JWTZ kwenye ukombozi wa nchi za Afrika na mwisho kabisa mission ya hivi karibuni kwenye kisiwa cha hapo ,jirani,huyo Kagame alijaribu kumchokoza mzee wa Msoga,akatuma kikosi kidogo cha JW kule Congo akawachakaza M23 mpk Kagame akachanganyikiwa,hao Rwanda wanajua vzr kazi ya JWTZ,...kifupi tuna jeshi mahiri kwenye ukanda huu,labda Kenya wanatukaribia kwa karibu.
 
Nafikiri huijui vzr kazi ya JWTZ,kwa wanaofuatilia vzr wanajua mission za JWTZ kwenye ukombozi wa nchi za Afrika na mwisho kabisa mission ya hivi karibuni kwenye kisiwa cha hapo ,jirani,huyo Kagame alijaribu kumchokoza mzee wa Msoga,akatuma kikosi kidogo cha JW kule Congo akawachakaza M23 mpk Kagame akachanganyikiwa,hao Rwanda wanajua vzr kazi ya JWTZ,...kifupi tuna jeshi mahiri kwenye ukanda huu,labda Kenya wanatukaribia kwa karibu.
Rubbish.
 
Ujumbe wangu muhimu kwa hilo Jeshi ( nimelisahau ) kwa sasa ni kwamba liachane na Kujimwambafai kwa kufanya Mazoezi ya Ardhi na Anga Ili Kuitisha Rwanda ya Shujaa Rais Paul Kagame.

Na pia niwaombe Wakufunzi wa Makomandoo wa hilo Jeshi ( nililolisahau kwa sasa ) kuwa liachane na Utoto wa kila Siku za Sherehe zao za Kitaifa kutuonyesha na Kututambia wanavyoweza Kukunja Nondo, Kuvunjiana Mbao Migongoni mwao na Kupigana Kung Fu bali watumie muda mwingi kuwapa Utaalam wa Kukabiliana na Majanga makubwa yanayoathiri moja kwa moja Wananchi wao.

Kama ambavyo Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe alishauriwa akajifunze mengi ( hasa Kucheza Mechi za Kimataifa na akakataa ila Aibu kaipata na ataipata zaidi tarehe 9 Novemba, 2022 huko nchini Tunisia ) ndiyo hivyo hivyo nami GENTAMYCINE naliomba hilo Jeshi la hiyo nchi kuwa isione Aibu kwenda nchini Rwanda katika Jeshi la Rwanda ili wakajifunze mengi ya Kiuweled na Kiutendaji mpaka kuwa na Akili Kubwa ( ambazo bahati mbaya sana wengi Wao hawana ) ili katika Majanga mengine yatakayowakumba waweze Kukabiliana nayo bila kwenda eneo la Tukio na Kubung'aa bung'aa tu huku wakiwaza Mishahara, Resheni na Pesa yao ya Vinjywaji itatoka lini ili wawahi katika Mabaa Kunywa na Kulewa Chakari na Maendeleo yao ( wengi Wao ) yakiwa ni Sifuri.

Majeshi pekee ambayo kidogo yanaweza Kupambana Kimedani na Jeshi la Rwanda ni la Angola na Uganda pekee ila yaliyobakia hayataishia tu Kupigwa na Rwanda bali hata nchi zao zote zitakuwa part and parcel ya nchi ya Rwanda.

I hope Message sent and delivered!!!
bila kuisema yanga wewe kimba hakiwezi kutoka?
 
Back
Top Bottom