Pre GE2025 Kama jeshi watafanya usafiri tarehe 24 basi siku kabla ya maandamano tarehe zibadilishwe

Pre GE2025 Kama jeshi watafanya usafiri tarehe 24 basi siku kabla ya maandamano tarehe zibadilishwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kama jeshi watafanya usafiri tarehe 24 basi siku kabla ya maandamano tarehe zibadilishwe

Dawa ya hawa wanasiasa kama chalamila ni kuwapeleka mperampera tu, kama kaamuru jeshi lifanye usafi tarehe 24 basi chadema watulie wakijiandaa na maandamano halaf siku zikianza kukaribia waskipe hiyo tarehe watangaze hata tarehe 26 au 27 tuone kama jeshi litaamriwa tena lifanye usafi au la
 
Back
Top Bottom