Kama jiwe alikuwa na ubaya wowote Ni chama chake ndio kinawajibika 100@%

Kama jiwe alikuwa na ubaya wowote Ni chama chake ndio kinawajibika 100@%

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Watu wengi tunajaribu kurubuniwa eti kuwa mwamba Ni mbaya ,Ni mtu mbaya ,Mimi ninachowaza Ni kuwa kama kwa namna yoyote alikuwa na ubaya wowote Ni chama kilichomsimamisha kimesababisha hayo,hakina mfumo madhubuti badala yake wapo radhi kufanya lolote mradi malengo yenu yatimie,nafahamu kilichosababisha akawa kwenye hiyo position ile Ni kigezo Cha kabila lake tuu ,hakukuwa na njia nyingine mlikuwa mmekaliwa vibaya 2015,huyo hangekuwa chaguo lenu kamwe,lakini pia watu mnasahau kuwa samaki mmja akioza chomboni samaki wote watanuka uvundo,wote watakuwa wameoza ,Kama mtamweleza mwamba kwa ubaya huo basi mjua kuwa nyinyi Ni mashetani na hamfai tena .Haiwezekani kwa namna yoyote ile kutengenisha falsafa ya jiwe na aliyemrithi,Hilo Ni Jambo gumu sana Ni kiwango kikubwa sana Cha unafiki na ubinafsi na mtu kuharibu kujiosha ,huku ukimpa lawama marehemu kwa kuwa hajitetei Ila watu wenye ufahamu wanaelewa,njia pekee ya kubali salama Ni kuendelea na legacy yake vingivevyo mtatupa wakati mgumu 2025
 
Haaahaaa


Wanasiasa wote wa vyama vyote hapa Tanzania ni wabinafsi, hawapendi maendeleo na wanajiwaza wao na familia zao kwakuwa na sifa ya wachumia tumbo. Hakuna mwema yoyote, hata mmoja.

Wanafanana na hadithi ya " Mzee Tola, mpenda kula gizani".

Chukua hii ndugu,

"Wanasiasa wa Tanzania ni wachoyo"
 
Back
Top Bottom