joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
What's wrong is that u can't mind ua own business. Stop pocking ua noses in others peoples lives instead worry about ua povertyPoleni majirani,angalieni mnakosea wapi,mbona mabalaa yamewaandama sana,na jana nimetoka kuona post ya sexworkers wanataka kufanya yao,whats wrong with you guys...
Nimeanza kuogopa kwenda huko.50% of Nairobi buildings are not fit for human habitation.
Nimeanza kuogopa kwenda huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NYLON SHEET SLUMSIt must hurt them so much that they live in nylon sheet slums and those who live in brick houses live in fear of building collapse [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Just less than 6 months,
Another big multi storey building collapsed.
Hawa watu hamna elimu unakuta architecture ame forge cheti engineer nae hivyohivyo kama mtu anaweza kuendesha ndege ya viongozi wa serikali zaidi ya miaka 10 bila kusomea kurusha ndege unafikiri kwenye miradi kama hiyo hali itakuaje sishangai kuona majanga kama haya. Pili najiuliza kenya hamna board ya kuregulate hawa contractors au ni vipi?Wale wataalamu wa hisabati wanaweza fact out , tukapata ‘Constant’
Tukapredict when is the next collapse [emoji28]
Wale wataalamu wa hisabati wanaweza fact out , tukapata ‘Constant’
Tukapredict when is the next collapse [emoji28]
Hawa watu hamna elimu unakuta architecture ame forge cheti engineer nae hivyohivyo kama mtu anaweza kuendesha ndege ya viongozi wa serikali zaidi ya miaka 10 bila kusomea kurusha ndege unafikiri kwenye miradi kama hiyo hali itakuaje sishangai kuona majanga kama haya. Pili najiuliza kenya hamna board ya kuregulate hawa contractors au ni vipi?