Kama Kesi Ya Mramba Imedumu Miaka 8 Vipi Kwa Masikini?

Kama Kesi Ya Mramba Imedumu Miaka 8 Vipi Kwa Masikini?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Hivi kama kesi ya kina Mramba na Mgonja inakaa miaka 8 makabwela waliopo rumande kwa tuhuma watapata lini haki zao?
Kumbuka Mramba kwa nafasi yake na uwezo wake amekuwa nje kwa dhamana muda wote wa kesi
Je kwa wale wasioweza kujidhamini na wamesingiziwa kesi zao?
Kesi ya mramba na Mgonja ilianza kusikilizwa mwaka 2008 kabla JK hajaanza miaka yake mitano ya mwisho.
Tafakari chukua hatua!
 
Hivi kama kesi ya kina Mramba na Mgonja inakaa miaka 8 makabwela waliopo rumande kwa tuhuma watapata lini haki zao?
Kumbuka Mramba kwa nafasi yake na uwezo wake amekuwa nje kwa dhamana muda wote wa kesi
Je kwa wale wasioweza kujidhamini na wamesingiziwa kesi zao?
Kesi ya mramba na Mgonja ilianza kusikilizwa mwaka 2008 kabla JK hajaanza miaka yake mitano ya mwisho.
Tafakari chukua hatua!

Hii ndio ccm katika ubora wake wallah siku kikianguka tutasikia mambo makubwa sana.
 
Ukiwa nje ya nchi kisha ukayasilia pengine na kuyataza mambo yanayofanyika humu nchini.....lo! unaweza ukadhani wakaazi wa nchi hii ama ni wanyama/wadudu ama ni majuha........hili la mramba ni 1 yapo ya kutisha humo magerezani na mahakamani...........
 
Hii ndio ccm katika ubora wake wallah siku kikianguka tutasikia mambo makubwa sana.

Ccm watakapo ondoka madarakani octoba
Zitafanyika sherehe kubwa sana maofisini viti vyote vitanyanyuliwa juu juu kwa furaha
Hata majaji na mahakimu wata sherekea
Sasa wanawatazama kwa kijicho cha upande tu
 
Back
Top Bottom