Ulikuwa unafukuzwa?Mod, please nibadilishie heading, sema hapa chama tawala,
umepost mara 2 , neno moja, ulikuwa uko baa?Ulikuwa unafukuzwa
itakua ni ushirikina kwa kijana kujiondoa kwenye umoja wenye nguvu na kujiunga na utapeli dhaifu wa kichawi uliokosa uelekeo 🐒Za jioni wadau
Utakuta kijana anasimama juu jukwaa la chama cha watz ,chama pendwa cha waliowengi halafu anawaponda wapinzani na kuwatishia.
akienda nyumbani anajisifu kwamba wapinzani kawashambulia na watazidi kumsikia.
haafu anajiita jasiri
mimi naona huo sio ujasiri,i hayo yasemee nje ,ukiweza hapo ndio unaweza kujipima ujasiri
Tuipende Tanzania yetu -我们热爱我们的坦桑尼亚,希望它也爱我们。
Ashii sorryumepost mara 2 , neno moja, ulikuwa uko baa?
basi usijione jasiri,itakua ni ushirikina kwa kijana kujiondoa kwenye umoja wenye nguvu na kujiunga na utapeli dhaifu wa kichawi uliokosa uelekeo 🐒
Au Chama Dola itapendeza zaidiMod, please nibadilishie heading, sema hapa chama tawala,