Kama kijana naejitafuta nimeamua kuingia kwenye hii fani

Kama kijana naejitafuta nimeamua kuingia kwenye hii fani

chaz beezz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
217
Reaction score
865
Mambo yasiwe mengi wakuu.
katika kujitafuta nimeona niweke vyeti pembeni niingie rasimi kujifunza fani ninayovutiwa nayo inayohusu mambo ya Gypsum design, wall skimming,perfic finishing and paint.

Maisha kitaa yanakaba ujobless imekua tatizo vijana tujaribu kujifunza fani mbali mbali.

Hivyo naombeni ushauri wakuu ili kuwa vizuri kwenye hii fani kipi bora zaidi, napaswa kusoma veta au nitafute mafundi wenye utaalam wa hii kazi ili nianze tembe nao ili kupata ujuzi na kwabaadae nitapoiva nianze kazi mwenyewe ?
20230328_085840.jpg
20230328_085902.jpg
20230328_085611.jpg
20230328_085854.jpg
20230328_085555.jpg
 
Mambo yasiwe mengi wakuu.

katika kujitafuta nimeona niweke vyeti pembeni niingie rasimi kujifunza fani ninayovutiwa nayo inayohusu mambo ya Gypsum design, wall skimming, perfic finishing and paint.

Maisha kitaa yanakaba ujobless imekua tatizo vijana tujaribu kujifunza fani mbali mbali.

Hivyo naombeni ushauri wakuu ili kuwa vizuri kwenye hii fani kipi bora zaidi, napaswa kusoma veta au nitafute mafundi wenye utaalam wa hii kazi ili nianze tembe nao ili kupata ujuzi na kwabaadae nitapoiva nianze kazi mwenyewe?

20230328_085555.jpg
20230328_085902.jpg
20230328_085920.jpg
20230328_085645.jpg
20230328_085840.jpg
 
VETA watakuchelewesha,tafuta mtaalam wa hayo mambo mtaani(kwenye site mbalimbali wapo) muombe akufundishe ukiwa site live,kikubwa uwe na nidhamu,utaelewa haraka na vizuri kuliko VETA
 
Anza kujichanganya kwenye masait.jifunze kupiga msasa huku ukiangalia mafundi wavyofanya kazi. Kama bishoo sana itakuwia ugumu
 
Back
Top Bottom