silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Kufuatia Kauli chafu ya Vitisho kwa Wananchi iliyotelewa na Raisi Jakaya Kikwete ya Kuwadanganya Wananchi kuwa Chadema wanavuruga Amani ya nchi, mimi kama mwana diplomasia Kauli hiyo nimeiona ni ya kijinga na hakuifikiria, na Kama nataiona Kauli hiyo ni a kweli YEYE NI RAISI kwanini asiwachukilie Hatua?
Maana ya kuto wachukulia Hatua ni kwamba wao hawavurugi Amani ya Nchi, kwani wao pia ni wananchi wa Tanzania hii, KIKWETE FUTA KAULI YAKO
Maana ya kuto wachukulia Hatua ni kwamba wao hawavurugi Amani ya Nchi, kwani wao pia ni wananchi wa Tanzania hii, KIKWETE FUTA KAULI YAKO