GODSON KITOMARY
Member
- Jun 23, 2020
- 12
- 23
Godson kitomary
Pichani ni kitabu cha "COLENEL GADAFFI" Kinachoitwa "THE GREEN BOOK" Na ndani yake kina mambo matatu kama ifuatavyo:
1. Jinsi ya kutatua matatizo yatokanayo na demokrasia
2. Kutatua matatizo ya kiuchumi
3. Misingi ya kijamaa na nadharia ya mataifa yanayoendelea.
Ndicho kitabu alichotumia kuitoa "LIBYA" Kuwa "NCHI" Ya "AHADI" Kama "WAISRAEL" Walivyopewa "ISRAEL" Na walibya kufaidi "MAFUTA" Waliyobarikiwa na "MUNGU" Wakapewa kila kitu na "GADDAFI" Lakini wakamuua kwa jina la "DEMOKRASIA" Na leo hii "LIBYA" imegeuka "JEHANAMU" Halafu "NATO" Waliwachonganisha kwelikweli hawakujiuliza "PUTIN" Wa "RUSSIA" Ana miaka mingapi madarakani.
Embu tuishie hapa ukipata muda kisome na ntakuja kukupa summary yake kwa ufupi
Pichani ni kitabu cha "COLENEL GADAFFI" Kinachoitwa "THE GREEN BOOK" Na ndani yake kina mambo matatu kama ifuatavyo:
1. Jinsi ya kutatua matatizo yatokanayo na demokrasia
2. Kutatua matatizo ya kiuchumi
3. Misingi ya kijamaa na nadharia ya mataifa yanayoendelea.
Ndicho kitabu alichotumia kuitoa "LIBYA" Kuwa "NCHI" Ya "AHADI" Kama "WAISRAEL" Walivyopewa "ISRAEL" Na walibya kufaidi "MAFUTA" Waliyobarikiwa na "MUNGU" Wakapewa kila kitu na "GADDAFI" Lakini wakamuua kwa jina la "DEMOKRASIA" Na leo hii "LIBYA" imegeuka "JEHANAMU" Halafu "NATO" Waliwachonganisha kwelikweli hawakujiuliza "PUTIN" Wa "RUSSIA" Ana miaka mingapi madarakani.
Embu tuishie hapa ukipata muda kisome na ntakuja kukupa summary yake kwa ufupi