Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa watalipa kwa utaratibu wa zamani!Ukiacha tatizo la nyumba moja kuwa na zaidi ya LUKU moja na mpangaji kumlipia kodi ya jengo mwenye nyumba, kuna hili la majengo yasiyo tumia umeme wa Tanesco watalipaje kodi ya majengo yao au wao wana utaratibu wao wa kulipa Property Tax.
Halafu na sisi ambao tulishalipa hiyo kodi ya majengo ya mwaka huu, inakuwaje tunakatwa tena kwenye LUKU?Umeambiwa watalipa kwa utaratibu wa zamani!
Mtalipa, sola ni nishati ambayo iko chini ya Wizara ya Nishati na pia Mazingira hivyo hauwezi ukakaa tu unafyonza nishati bure.Ukiacha tatizo la nyumba moja kuwa na zaidi ya LUKU moja na mpangaji kumlipia kodi ya jengo mwenye nyumba, kuna hili la majengo yasiyo tumia umeme wa Tanesco watalipaje kodi ya majengo yao au wao wana utaratibu wao wa kulipa Property Tax.
Ndiyo..Halafu na sisi ambao tulishalipa hiyo kodi ya majengo ya mwaka huu, inakuwaje tunakatwa tena kwenye LUKU?
Kodi hii haitozwi kulingana na idadi ya mita bali, jengo hata kama jengo lina mita 10, itakayolipia kodi ya jengo hilo ni mita moja tu, mwenye nyumba anatakiwa kutoa taarifa ni mita ipi ndio itakuwa inakatwa tozo hiyo.Pesa inayopatikana kupitia LUKU haina haja ya hao kulipa.
Kuna fremu za biashara kila mtu anatumia meter yake.
Chukulia ni fremu 5 zipo kwenye kiwanja kimoja.
Hapo ni shiling ngapi? Hata wasipolipa ni sawa.
Hii nchi ni tajiri sana.