we unawaza kuchokolewa uzazi tu...🤣midole inatisha sasa akikufinga si anachokoa uzazi? hii ndio midole y kwenda?
Ni kweli babangu mkubwa alikuwa na kucha za hivyo alkuwa anasumbuliwa na sukari na pressure ya kupanda mnoKuna wataalamu wa afya wanasema kucha za vidole vya mkono zikiwa zimevimbiana hivi(clubbed) ujue wewe ni sawa mfu anayesubiriwa kufukiwa wakati wowote. Kwamba kimojwapo, kadhaa au vyote kati ya Moyo, mapafu, figo au ini viko taabani.
View attachment 3139605
View attachment 3139606
ukishashiba unadhani n kingine kinafuatawe unawaza kuchokolewa uzazi tu...🤣