x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
Asalam
alehkum/bwana asifiwe/abari zenu.Ikiwa mtu amepata mwalimu wa
kubadilishana naye vituo vya kazi naomba kujuzwa ni taratibu zipi afuate
ili aweze kufanikiwa kuhama?je,ni sababu zipi zinaweza kusababisha mtu
kunyimwa uhamisho kwa njia hii ya kubadilishana?Asante kwa kusoma ni
matumaini yangu utanijibu vizuri Mungu akubariki..
alehkum/bwana asifiwe/abari zenu.Ikiwa mtu amepata mwalimu wa
kubadilishana naye vituo vya kazi naomba kujuzwa ni taratibu zipi afuate
ili aweze kufanikiwa kuhama?je,ni sababu zipi zinaweza kusababisha mtu
kunyimwa uhamisho kwa njia hii ya kubadilishana?Asante kwa kusoma ni
matumaini yangu utanijibu vizuri Mungu akubariki..