Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia bidhaa, soma maelezo kwa makini sana kisha uki afford nunua kwa kutumia mpesa visa card, Airtel Mastercard au bank inayoruhusu online malipo.Jamani kama kuna aliyewahi kufanya manunuzi ali express naomba experience jinsi wanavyo fanya kaz
Fanya hivi:Jamani kama kuna aliyewahi kufanya manunuzi ali express naomba experience jinsi wanavyo fanya kaz
Juzi nimepigwa.Nimewahi kununua vitu na ninaendelea kununua, nimejifunza yafuatayo
- Angalia sana spelling na bei katika bidhaa unazotaka kununua mfano Kuna Xiaomi na Xioam wahuni wanakuingiza chaka unanunua kitu feki. Hapa utakuta bidhaa ambayo bei yake 700k utashangaa inauzwa 200k kuwa makini sana. Utagundua Kuna kitu hakipo sawa
- Soma vizuri item description, specifications na customer reviews ni muhimu. Mimi binafsi sinunui bidhaa ambazo hazina customer reviews au zikiwa chache sana au nikikuta malalamiko hata ya mtu mmoja.
- Bidhaa husika kuwa na idadi kubwa ya kiasi kilichouzwa zilizouzwa, hapa pia unaweza kuona maoni ya wanunuzi juu ya bidhaa hiyo.
Nipe link ya seller, Nikague na nitakushauri nini cha kufanya.Juzi nimepigwa.
Niliagiza Huawei WiFi router, specifications zote ni 4G.
Niliyoletewa ni 3G.
Pole sana mimi nilinunua memory card ya aftatu GB 64 kuiweka kwenye simu haiwezi kuhifadhi hata faili la GB1.Juzi nimepigwa.
Niliagiza Huawei WiFi router, specifications zote ni 4G.
Niliyoletewa ni 3G.
Nipe link ya seller, Nikague na nitakushauri nini cha kufanya.