Kama kuna daktari humu, msaada tafadhali

Kama kuna daktari humu, msaada tafadhali

mahindi hayaoti mjini

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
2,120
Reaction score
2,709
Si unajua tena gharama za kumuona dokta yaani consultation fee ilivyo kubwa? Kama kuna yeyote humu anisaidie ushari, mara kadhaa nimeenda hospitali sababu ya vidonda ndani ya mdomo pembeni, wakati mwingine mbele ya mdomo kwa ndani chini ya ulimi, wananicheki na kunipa dawa ya kupaka cream, vinatulia halafu vinaanza tena, nikiwarudia tiba ni hiyo hiyo, nikiwauliza ni nini wanasema ni joto la tumbo ila havichezi mbali, kwa anayejua je ni maradhi gani haya?

Sababu naona madokta wamechemka!
 
Vidonda mdomoni vinaweza sababishwa na fangus wa mdomoni, hvyo unaweza waona wataalamu ili mshauriane kuhusu matibabu yake Fluconazole mara nyingi inatibu hii situation

Pia Vidonda mdomoni vinaweza sababishwa na upungufu wa vitamin C na Vitamin B Hvyo unaweza zidisha kula mboga za majani na matunda pia utumie Vitamin B Complex pills na Prednisole kwa ajili ya kuboost Body immunity.

huo ni ushauri tu mkuu, cha muhimu KAMUONE DAKTARI.
 
Back
Top Bottom