Kama Kuna Diaspora yupo Mauritius please nakuomba

Kama Kuna Diaspora yupo Mauritius please nakuomba

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Nina shida ya haraka Kuna kitu nahitaji kuuliza kabla sijaja huko, please kama wapo nawahitaji either tuongee public au private yote Sawa tu

Kama upo au umewahi kufika Mauritius please naomba msaada wako tuwasiliane, kama hujawah fika Ila unajua mengi kuhusu Mauritius pia ni sawa tu
 
Mwalimu mpwayugu!! Nepal kwenye Dili la udereva ulisharudi!????
Vipi Tena wewe so mwanasheria kwenye NGO!??
Vipi Ile Prado Yako namba E!??
Sasa unataka kwenga Mauritius!!???
Hahahaaaa haaa duuu!?? Nakushauri nenda mpunguzi ufuge kuku wa kienyeji na kilimo Cha zabibu bila kuacha kupika kangara[emoji42][emoji42][emoji42]
 
Mwalimu mpwayugu!! Nepal kwenye Dili la udereva ulisharudi!????
Vipi Tena wewe so mwanasheria kwenye NGO!??
Vipi Ile Prado Yako namba E!??
Sasa unataka kwenga Mauritius!!???
Hahahaaaa haaa duuu!?? Nakushauri nenda mpunguzi ufuge kuku wa kienyeji na kilimo Cha zabibu bila kuacha kupika kangara[emoji42][emoji42][emoji42]
😅😅😅😅 aache kupika karanga za kuchemsha au akauze mbuzi msalato.
 
Back
Top Bottom