Kama kuna location umeiona inafaa kwa kufungua biashara ya Stationary, pitia hapa unidokeze

Complex Analysis

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2020
Posts
219
Reaction score
417
Wakuu habari yenu.

Kuna vifaa vya stationary nimeachiwa na my brother, yeye kapata kazi mkoa mwingine so ameniachia ili niweze kuvitumia kwa biashara eneo alilokuwa anafanyia hiyo biashara mwanzo lilivunjwa kupisha maboresho ya miundombinu.

So naomba kama kuna mtu yeyote humu kaona mazingira yoyote yenye uhitaji ambapo anafikiri hiyo biashara naweza ifanyia anaweza nishirikisha ikiwa ni eneo la chuoni kwenye mzunguko mkubwa wa watu itapendeza zaidi.

Natanguliza shukrani wakuu
 
nenda napanya kule Ruvuma
 
Kijana umenifurahisha sana
hahaaah mkuu yaani nashindwa kulala usiku sababu akili mda wote inawaza nitoke kimaisha kwa style gani...nimepata idea hii naona naleta uzi wakuu wananipotezea...ndo mana nimeona nijitahidi tu kuwakumbusha kwa style hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…