GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nashauri hata Siku zingine ikitokea Mvua zikagoma Kunyesha tuwaombeni hawa Waandamizi Watatu tajwa katika 'Headline' yangu watusaidie Kuongea na hao 'Wataalam' wao kwani kwa muda mfupi tu huu wameshaonyesha kuwa hakika 'Ndumba' wanazijua na wanaweza.
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba hakuna Watu ambao 'Madame Levy' hapendi kuendelea nao ( kutokana na sababu kadha wa kadha ) kama Majaliwa, Mwalimu na Nchemba ila kila akipanga Safu yake huwa hawagusi na nahisi huenda pia huwa anawasahau na kuja Kukumbuka kuwa hawahitaji pale Jaffary Haniu akishamaliza kutuwekea Teuzi mpya Mitandaoni.
Nashauri huko mbeleni Timu yetu ya Mpira wa Miguu ya Taifa Stars ikiwa inataka Kufuzu Kombe la Dunia tusipoteze sana muda Kuandaa Kamati mbalimbali za Ushindi bali tuwaombe tu Wataalam ( Waganga wa Kienyeji ) wa hawa Waandamizi Watatu tajwa wamalize Shughuli yote tu Kiuchawi ( Kiulozi )
Kassim, Ummy na Mwigulu Shikamooni!
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba hakuna Watu ambao 'Madame Levy' hapendi kuendelea nao ( kutokana na sababu kadha wa kadha ) kama Majaliwa, Mwalimu na Nchemba ila kila akipanga Safu yake huwa hawagusi na nahisi huenda pia huwa anawasahau na kuja Kukumbuka kuwa hawahitaji pale Jaffary Haniu akishamaliza kutuwekea Teuzi mpya Mitandaoni.
Nashauri huko mbeleni Timu yetu ya Mpira wa Miguu ya Taifa Stars ikiwa inataka Kufuzu Kombe la Dunia tusipoteze sana muda Kuandaa Kamati mbalimbali za Ushindi bali tuwaombe tu Wataalam ( Waganga wa Kienyeji ) wa hawa Waandamizi Watatu tajwa wamalize Shughuli yote tu Kiuchawi ( Kiulozi )
Kassim, Ummy na Mwigulu Shikamooni!