bushoke wa dar
Member
- Jan 20, 2025
- 22
- 32
ndogo ya privet ila hata manual naendeshaAndika vizuri.Huo mwandiko usiozingatia vituo ni hatari.
Unaweza kuendesha gari zipi?
sina dada ndio mana natafuta hata mchongo wowote ili nipate chochote kitu ila hata ukinipa aidia sio mbayaUfanisi wa biashara ya mauzo???? Una mtaji nikupe michongo hapa hapa na si pm?
bushoke wa dar ume itwa hapaNjoo pm
asante kaka sikuonabushoke wa dar ume itwa hapa
pamoja Sanaasante kaka sikuona