The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Naomba wenye uelewa wa mambo ya uchumi wa nchi wanipanue ufahamu kidogo kuhusu mambo ya mikopo.
Nimekua nikisikia kwamba serikali imekopa au itakopa mikopo yenye masharti nafuu, na mara nyingi hatuambiwi inapokua imekopa yenye masharti magumu.
Ndipo nikahitaji ufafanuzi toka kwa wataalam wetu:
1) Mikopo yenye masharti nafuu inakuwaje?
2) Mikopo ya masharti magumu inakuwaje?
3) Kama kuna mikopo ya masharti nafuu kwa nini nchi ichukue mikopo yenye masharti magumu?
Nimekua nikisikia kwamba serikali imekopa au itakopa mikopo yenye masharti nafuu, na mara nyingi hatuambiwi inapokua imekopa yenye masharti magumu.
Ndipo nikahitaji ufafanuzi toka kwa wataalam wetu:
1) Mikopo yenye masharti nafuu inakuwaje?
2) Mikopo ya masharti magumu inakuwaje?
3) Kama kuna mikopo ya masharti nafuu kwa nini nchi ichukue mikopo yenye masharti magumu?