Kama kuna mtu amechaguliwa bsc.physics udom ujue umeumia

Izzo G

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
414
Reaction score
62
haieleweki utaajiliwa wapi? course content ni zile zile za advance mfano utakutana na mechanics, magnetism,heat,wave then hakuna cha field walimu wachache practicals mpaka vifaa vitoke udsm na mta jikuta practical 20 mnafanya kwa wiki moja ili vifaa virudi, nina wambia kwakuwa mimi sikupata nafasi ya kupata ushauri kwasasa nimeona bora nisome diploma pale D.I.T
 
Kumbe ndo hayo tena?What is it then...thanks God wamenikosa.But BOOM C kama kawaida?
 

wote mnaosoma udom mmeumia
 

hiko si chuo cha kata ya kawaida hayo.
 
Wakuu vp hali ya usomeshaji BS.Md kwa upande wa UDOM maana ni miongoni mwa choices zangu TCU
 
Halafu wakuu maushauri mengine mtoe kabla watu hawajakosea.. Sasa kwa muda huu itamsaidia nini atakaechaguliwa? Lol!!! Mimi mwenyewe mmenichanganya mpk fucult yangu naanza kuichukia.. Ila sio hii
 
[QUOTE=Pompoo;71601 Lol!!! Mimi mwenyewe mmenichanganya mpk fucult yangu naanza kuichukia..

wewe pompoo wewe,hakuna fucult university.tukiwaita form six wa majanga mnabsha.hata kama ulkua unamaanisha facult still OUT OF POINT.
 
Sijamuelewa mdau kwa nini akachukue Diploma pale DIT badala ya kwenda DIT kuchukua Degree ya uhandisi moja kwa moja? Yaani B.Eng(Civil,Electrical,Mechanical, Telecom, Computer etc). Naamini mdau alimaliza kidato cha sita au diploma. DIT hutoa B.Eng na wala siyo Bsc.Eng.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…