Kama Kuna mtu anafatilia Taifa cup basketball atupie matokeo hapa leo tuone nani kabeba ndoo

Kama Kuna mtu anafatilia Taifa cup basketball atupie matokeo hapa leo tuone nani kabeba ndoo

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Wakuu Leo ni final ya Taifa Cup Basketball kati ya Mara wanawake na Unguja wanawake kama Kuna mtu anaangalia haya mashindano basi atupe matokeo kujua Jesca vipi anaendeleza ufalme au kakwama.

Ni game Kali sana
 
Hii nchi basketball ndiyo imeporomoka kabisa. Rwanda wametoka 0 hadi wametupita, sisi bado tumebaki na "Taifa Cup". Napendaga kuuliza maswali ya kiufukunyuku, hivi michezo iliikosea nini serikali?
 
Hii nchi basketball ndiyo imeporomoka kabisa. Rwanda wametoka 0 hadi wametupita, sisi bado tumebaki na "Taifa Cup". Napendaga kuuliza maswali ya kiufukunyuku, hivi michezo iliikosea nini serikali?
Iliingia notion mbaya sana vichwani mwa watunga sera mwaka 2000 michezo ikafutwa mashuleni kwa kigezo Cha Haina faida na inachangia watoto ku fail masomo(wakati hata wangefaulu hapakuwa na shule za kuwapeleka) baada ya hapo taratibu Kila mzazi akaamini kucheza ni kupoteza mda basi ndio maana hadi Leo chama na azizi wanagombewa na Kila team inajitapa kuvuta vyuma kutoka mataifa kama burkanafaso n.k huku baadhi wakionesha uzalendo fake kwa kudai tuwajali wazawa.
Michezo iliuliwa na serikali
 
Iliingia notion mbaya sana vichwani mwa watunga sera mwaka 2000 michezo ikafutwa mashuleni kwa kigezo Cha Haina faida na inachangia watoto ku fail masomo(wakati hata wangefaulu hapakuwa na shule za kuwapeleka) baada ya hapo taratibu Kila mzazi akaamini kucheza ni kupoteza mda basi ndio maana hadi Leo chama na azizi wanagombewa na Kila team inajitapa kuvuta vyuma kutoka mataifa kama burkanafaso n.k huku baadhi wakionesha uzalendo fake kwa kudai tuwajali wazawa.
Michezo iliuliwa na serikali
Ni kweli kabisa. Uko sahihi. Ukweli ni kuwa michezo ina mchango mkubwa katika kukuza uwezo wa kufikiri wa mwanafunzi pamoja na faida nyingine kama kumfundisha mwanafunzi jinsi ya kufanya kazi kwa kushirikiana na wenzake, kuwa na focus na nidhamu hadi kufikia malengo na kama malengo yasipofikiwa (kutopata ushindi), kujipanga upya na kuangalia ulipokosea ili kuutafuta ushindi siku nyingine. Hapo sijaongelea kuujenga mwili ili kuwa na afya bora. Pia sijaongelea faida za baadae za kiuchumi za ajira za mtu mmoja mmoja na pato la taifa kwa kupata wanamichezo bora na timu bora za kiushindani.

Ni kama tulienda kinyume na tulichotakiwa kufanya.
 
Back
Top Bottom