Kama kuna mwenye njia ya kumfikia Jennifer Lopez aniunganishe naye

Mimi nampataje Zuchu (huyu wa WCB). Nataka nimwambie ya moyoni ili nitulie.
 
Mimi nampataje Zuchu (huyu wa WCB). Nataka nimwambie ya moyoni ili nitulie.
Wakina Zuchu tuko nao huku Gongo la Mboto, halafu isitoshe Zuu kamshushia tusi zito la nguoni fan wake baada ya kuambiwa ukweli kuwa analiaibisha taifa letu kwenye nchi za ughaibuni
 
Kuhusu JLo naiweka whtsapp no yake huwa tunachat sana, ila usiingie kiboya atakutukana japo ana kaustaarabu fulani hv.
Kwa Lulu Diva kuna Ukweli. Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…