Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Hii mechi n kati ya mechi nyepesi sana ya Yanga
Pengine ni zaidi ya vs Kagera
Kama kuna mechi Simba atajuta kuingiza timu uwanjan n Derby ijayo.
Halii si nzuri kwao mpaka sasa najua kamati inahangaika kupindua matokeo na ukweli wanajua walichoelezwa
Kifupi tu yanga atashinda kuanzia goki 3 nk ....na kama Simba hawatadumisha uchezaji wa adabu na hekima basi msishangae red Kadi kwenye hii mechii
Kila la kheri wote
Pengine ni zaidi ya vs Kagera
Kama kuna mechi Simba atajuta kuingiza timu uwanjan n Derby ijayo.
Halii si nzuri kwao mpaka sasa najua kamati inahangaika kupindua matokeo na ukweli wanajua walichoelezwa
Kifupi tu yanga atashinda kuanzia goki 3 nk ....na kama Simba hawatadumisha uchezaji wa adabu na hekima basi msishangae red Kadi kwenye hii mechii
Kila la kheri wote