Ata wakiruka uzio kinachotakiwa ni matokeo aijalishi umeyapataje, kitacholeta matokeo ndicho kitachofanywaHalafu Yanga watapitia milango isiyoruhusiwa na kuruka uzio
Yanga watakwambia wao hawaamini hayo mambo kabisa, kwamba wana team nzuri inatosha...Halafu Yanga watapitia milango isiyoruhusiwa na kuruka uzio
Kwani uwongo?..hadi al ahly wanawajua kwa uchawiYanga watakwambia wao hawaamini hayo mambo kabisa, kwamba wana team nzuri inatosha...
Ajabu siku ya mechi wanapeleka gari lisilo na watu, baadae wanapanda juu ya ukuta kama ngedere kuingia uwanjani...
Ukiwauliza vipi? Watakwambia Simba wachawi...
Ukiwauliza mumejuaje? Wanakua wakali...
Al ahly ndiyo SI Unit ya ukweli?Kwani uwongo?..hadi al ahly wanawajua kwa uchawi
unabii vs utabiriHii mechi n kati ya mechi nyepesi sana ya Yanga
Pengine ni zaidi ya vs Kagera
Kama kuna mechi Simba atajuta kuingiza timu uwanjan n Derby ijayo.
Halii si nzuri kwao mpaka sasa najua kamati inahangaika kupindua matokeo na ukweli wanajua walichoelezwa
Kifupi tu yanga atashinda kuanzia goki 3 nk ....na kama Simba hawatadumisha uchezaji wa adabu na hekima basi msishangae red Kadi kwenye hii mechii
Kila la kheri wote
Yule paka alikua anafanya nini pale kwa mkapa game ikiendelea?..moto uwanjani south africa,na juzi mtoto katumwa akaweke kitu golini game na waarabu,bus kurudi kinyume nyumeAl ahly ndiyo SI Unit ya ukweli?