Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Wananchi wanahaha kufikiria maendeleo mpaka wanaona waunde vya vya upinzani. Baadhi yao vyama vikishaundwa wanavitumia vibaya na kuviua kwa mikono yao.
Chama cha Demokrasia na maendeleo ni moja ya vyama vilivyojiua vyenyewe kizembe kabisa. Na kama kulikuwa na mtu alitaka akiue Chama hiki basi asitumie nguvu tena katika kazi hiyo.
Chama cha Demokrasia na maendeleo ni moja ya vyama vilivyojiua vyenyewe kizembe kabisa. Na kama kulikuwa na mtu alitaka akiue Chama hiki basi asitumie nguvu tena katika kazi hiyo.