Elections 2010 Kama Kweli 6 ni Chuma Cha Pua: Fanya Hili............................

Mazuzu???

Duh!

Any way............

Wewe unataka nani agombee uspika kupitia CCM??
Nimekwishakusema ccm hakuna mtu wa kuwa spika.labda kama mnasema kuwa kati ya vipofu yeye ana kengeza(the lesser evil?) na kama huyo ndo afadhali,wengine wakoje.kinyaa ni kule kumpamba kama mtu mwema.na je haiwezekani mpinzani kuwa spika? Kwa nn kufikiria makapi wakati cream ipo
 

mmh, unaota wewe!
 
Alipata nafasi ya kutengeneza historia hakuitumia(richmond,kagoda etc)atajuta na ukurasa ndo umeshafungwa,mafisadi ni noma!!only pipoos pawaaaa!can do ,not 6

hapo nilipoweka bold nakuunga mkono mia kwa mia
 
naona nyinyi amumtakii sitta mema kwani ccm wakipoteza kiti cha uspika basi sitta atanyimwa uraia wa nchi hii
 

Mgombea yeyote anawakilishwa watu. Ukimwita kokoto au juha maana yake hata watu wanaomfuasa ni makokoto au majuha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…