Kama kweli basi miye nimekuja kuwaaga!

wote siku zetu zinahesabika na hakuna atakaeishi milele hapa duniani........ kama umezaliwa utakufa!!!!!!!!!
 
IMANI YA KISHIRIKINA HIYO hao waliokwambia hivyo kuna siku watakupeleka kwa shehe yahya ukaongeze siku za kuishi.hauna kitu kama hicho maisha yako yako kwenye ulimi wako kili sitakufa na utaishi kama unavyojinenea atiii
 
Ukifika usisahai kumtafuta Julias Nyerere (BABA WA TAIFA) umweleze kinachojiri TZ. BYE:doh:
Nitamtafuta mpaka nimpate. Nitamfikishia saamu ndugu yangu
 
Ukifika Mwambie sir God kilichosababisha ufike mapema kabla ya siku alizokupangia yeye....Pia mwambie sisi huku (ambao hatujaona paka...) tunateseka amtume Hata Eliya atuokoe

Nitamwambia ndugu. Niko hapa nasubiri tu sijui ni leo! Lakini nafanya kazi kwa bidii kwelikweli.
 
1.Maneno utamkaYo Yaweza tokea kama ulivyotamka. Mungu aliumba dunia kwa kutamka tu.KUNA NGUVU YA AJABU ndani ya tunacho sema na kuamini
2.Imani pia hutenda mambo makuu
3.Ukiamini 100%,na kisha kutamka kwa dhati 100% kuwa tutakufa kwa vile tumeona PAKA....usione ajabu yakatokea sambamba na imani yetu
4.Ili imani na tamko lifanye kazi ni sharti pawe na ukamilifu wa 100%
5. Yule jamaa (wa kwenye biblia)alikuwa na imani 100% kuwa nae anaweza kutembea kama yesu juu ya maji. lakini baada ya hatua chache imani ile ikapungua .....labda ikawa 99% hapo hapo akaanza kuzama.
6. Imani yako haijafika 100%, ukweli kuwa unawauliza watu kuwa itatokea ukafa au la ni dalili kuwa upo 50%....kama imani ya 99% haiwezi kutenda kazi je hiyo ya kwako ndogo????
kwa ajili hiyo uwe na na amani mpendwa, kwa uchache wa imani yako juu ya mambo hayo(paka....) imekusaidia HAKUNA BAYA LOLOTE LITAKALO KUKUTA.
NIMEYAANDIKA HAYA NIKITEGEMEA ULIKUWA HUNA LENGO LA KUFURAHISHA BARAZA TU.
 
hilom lilikuwa ni fumbo la kukukumbusha kuwa CHICHIEMU ndio wameshajimaliza kabisa,ili mjiandae kuwaaga..:bowl::nono::doh::tape::smile-big:
 
mhh!! nakumbuka kipindi kile nipo highschool boys mji kasoro bahari ... weekend flani nilienda disco dakawa high.. nilikutana na mdudu flani hivi kama nyoka ..msela wangu akaniambia hiko ni kistia mkulima .. usimuue utapata nuksi, mi nikaleta ubishi nikamtwanga JIWE. jioni narudi zangu skonga mzumbe.. nipo dorm from no where akatokea nyoka "si mkubwa" lakini nyoka mweusi alikuwa keshapanda makanyagioni washkaji walifanya kunistua "NYOKA HUYOO" .. frm tht day !! hizi vitu vinavyosemwasemwa huwa nafkiria mara mbili..
ila sikutishi mkuu .. hamna kitu kama hiyo.. connection ya wewe kumuona paka na kifo! :nono:
 
Tuache imani potofu kitu ninacho jua ni You will always according to what you believe. Ukiamini kwamba utakufa ni kweli utaishi kuelekea kufa hivi karibuni na hatimae utakufa Be WISE......:rip:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…