Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu .
Wapo vijana waliowacheka wenzao kwa kufeli shule huku wao wakifurahia kufaulu na kuendelea na masomo na baada ya miaka kadhaa ya kuhitimu wanakuja tena kushinda mitaani huku wakiwaonea wivu vijana wasio wasomi waliotusua maisha
Pia kumekua na wazee waliozeeka huko maofisini mpaka wakishika kalamu vidole vinatetemeka waki ng'ang'ania kubaki kwenye ajira badala ya kuachia ngazi vijana nao waajiriwe bali wazee hao wamekua wakiwasema vijana kutokujiajiri na kujishughulisha huku wakiwang'ong'a na kuwashurutisha wajiajiri je, wao wanashindwa nini kujiajiri.
Je , kwanini kama elimu ni ufunguo na mwanga wa maisha ni kwanini vijana wanashindwa kutumia elimu kujiajiri?
Wapo vijana waliowacheka wenzao kwa kufeli shule huku wao wakifurahia kufaulu na kuendelea na masomo na baada ya miaka kadhaa ya kuhitimu wanakuja tena kushinda mitaani huku wakiwaonea wivu vijana wasio wasomi waliotusua maisha
Pia kumekua na wazee waliozeeka huko maofisini mpaka wakishika kalamu vidole vinatetemeka waki ng'ang'ania kubaki kwenye ajira badala ya kuachia ngazi vijana nao waajiriwe bali wazee hao wamekua wakiwasema vijana kutokujiajiri na kujishughulisha huku wakiwang'ong'a na kuwashurutisha wajiajiri je, wao wanashindwa nini kujiajiri.
Je , kwanini kama elimu ni ufunguo na mwanga wa maisha ni kwanini vijana wanashindwa kutumia elimu kujiajiri?