Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Watanzania akili zetu zimelala sana wanao taka Manji aendelee kuwa mwenyekiti sio kama ni Kiongozi mzuri ila eti ni kwa sababu ana pesa
Hayo mambo yamepitwa na wakati kilabu kubwa kama Yanga kuka tu kumtegemea mtu awe anatoa tu pesa bure bure wakati zipo njia nyingi za kufanya na kilabu ikaweza kujitegemea
Ina sikitisha kuona mijitu ambayo wenyewe ndio wanajiita wadau wa mpila wakiwa wanafikilia kuendesha kilabu kubwa kama Yanga kwa kutembeza bakuli
Huo mfumo wa kuendesha kilabu kwa kutembeza bakuli umesha tumika kwa miaka yote na hadi Leo kilabu haina mafanikio yoyote ila bado kuna watu mibichwa yao imeganda na jasho linawatoka kutoka Manji arudi eti kwa sababu anapesa hivyo atakuwa anatoa tu pesa bure bure kama mtu anampa mkewe
Manji usigombe uenyekiti na wala usitoe hata shilingi kumi ya kusajili mchezaji wala kulipa mishahara ya wachezaji maana hapo utakuwa huisaidii Yanga bali unazidi kuipoteza na kufanya mashabiki na viongozi mibichwa yao aendelee kulala
Kama kuna mtu hadi Leo hajui umuhimu wa kilabu kubwa kama Yanga kuwa kampuni basi ni bora uachane na kushabikia mpira maana hauna tofauti na mtoto aliyezaliwa jana
Hayo mambo yamepitwa na wakati kilabu kubwa kama Yanga kuka tu kumtegemea mtu awe anatoa tu pesa bure bure wakati zipo njia nyingi za kufanya na kilabu ikaweza kujitegemea
Ina sikitisha kuona mijitu ambayo wenyewe ndio wanajiita wadau wa mpila wakiwa wanafikilia kuendesha kilabu kubwa kama Yanga kwa kutembeza bakuli
Huo mfumo wa kuendesha kilabu kwa kutembeza bakuli umesha tumika kwa miaka yote na hadi Leo kilabu haina mafanikio yoyote ila bado kuna watu mibichwa yao imeganda na jasho linawatoka kutoka Manji arudi eti kwa sababu anapesa hivyo atakuwa anatoa tu pesa bure bure kama mtu anampa mkewe
Manji usigombe uenyekiti na wala usitoe hata shilingi kumi ya kusajili mchezaji wala kulipa mishahara ya wachezaji maana hapo utakuwa huisaidii Yanga bali unazidi kuipoteza na kufanya mashabiki na viongozi mibichwa yao aendelee kulala
Kama kuna mtu hadi Leo hajui umuhimu wa kilabu kubwa kama Yanga kuwa kampuni basi ni bora uachane na kushabikia mpira maana hauna tofauti na mtoto aliyezaliwa jana