kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Hoja Za Mungu ni ngumu kuelewa ila pia ni nyepesi kuelewa ukitumia akili vizuri sana
Let me go straight to the topic
Kwanini Mungu ameruhusu wanadamu kuteseka? Ukweli ni kwamba Mungu Hajaruhusu mwanadamu kuteseka ila mwanadamu anajitesa mwenyewe
Katika maandiko ya Biblia inasema Mungu alimuumba mwanadamu na akili nyingi kuliko hata malaika
kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hikima.’” (Kurani 2:31-32)
Mungu akamgeukia Adam na kusema:
“‘Akasema: Ewe Adamu! Waambie majina yake. Basi alipo waambia majina yake alisema: Sikukwambieni kwamba Mimi ninajua siri za mbinguni na za duniani, na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa mnayaficha?” (Kurani 2:33)
Kwahiyo mwanadamu ni kiumbe ambacho Kulikuwa kikamilifu zaidi ya Viumbe vyote vya mwenyezi Mungu
Na mwanadamu Alitakiwa kusujudiwa na viumbe vingine vyote apa chini na juu ya dunia
Kwasababu mwanadamu ametokana na Mungu mwenyewe
Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitaumba mtu kutokana na udongo. Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.” (Kurani 38:71-72)
Mwanadamu ni tofauti na viumbe vingine vya Mungu mwanadamu Kulikuwa kiumbe pendwa kwa Mungu
Kwanini Mungu aliruhusu mwanadamu kiteseka ? Ni pale mwanadamu alipokosa kutii maneno ya Mungu
Mwanzo 2:17
“lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
hapo adamu alipewa maagizo ya Mungu na Mungu alimuamini adamu kwasababu alijua adamu ni kiumbe kikamilifu ndo maana alimpa maagizo.
Adabu kwa upumbavu wake akakosa kitii maneno ya Mungu akatii maneno ya mke wake na pia mke wake alikosa kutii maneno ya Mungu akatii ya shetani Mungu akalaani
Mwanzo 3:15-17
“Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;”
Let me go straight to the topic
Kwanini Mungu ameruhusu wanadamu kuteseka? Ukweli ni kwamba Mungu Hajaruhusu mwanadamu kuteseka ila mwanadamu anajitesa mwenyewe
Katika maandiko ya Biblia inasema Mungu alimuumba mwanadamu na akili nyingi kuliko hata malaika
kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hikima.’” (Kurani 2:31-32)
Mungu akamgeukia Adam na kusema:
“‘Akasema: Ewe Adamu! Waambie majina yake. Basi alipo waambia majina yake alisema: Sikukwambieni kwamba Mimi ninajua siri za mbinguni na za duniani, na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa mnayaficha?” (Kurani 2:33)
Kwahiyo mwanadamu ni kiumbe ambacho Kulikuwa kikamilifu zaidi ya Viumbe vyote vya mwenyezi Mungu
Na mwanadamu Alitakiwa kusujudiwa na viumbe vingine vyote apa chini na juu ya dunia
Kwasababu mwanadamu ametokana na Mungu mwenyewe
Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Hakika Mimi nitaumba mtu kutokana na udongo. Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.” (Kurani 38:71-72)
Mwanadamu ni tofauti na viumbe vingine vya Mungu mwanadamu Kulikuwa kiumbe pendwa kwa Mungu
Kwanini Mungu aliruhusu mwanadamu kiteseka ? Ni pale mwanadamu alipokosa kutii maneno ya Mungu
Mwanzo 2:17
“lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
hapo adamu alipewa maagizo ya Mungu na Mungu alimuamini adamu kwasababu alijua adamu ni kiumbe kikamilifu ndo maana alimpa maagizo.
Adabu kwa upumbavu wake akakosa kitii maneno ya Mungu akatii maneno ya mke wake na pia mke wake alikosa kutii maneno ya Mungu akatii ya shetani Mungu akalaani
Mwanzo 3:15-17
“Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;”