Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ongea nao kiroho na uwaambie waache kuchokoza vichaa Israeli.nipo kwenye roho za watu wanaouawa bila hatia
waliuawa Iraq, waliuawa ukraine, huko sudani kila leo wanauawa, Ethiopia Somali, Haiti n. k kote huko wanauawa na upo kimya?πumbali? wewe huna utu? huoni watu wanavyouliwa?
Umevimbewa na nini? Mwezi wa tende na viazi si bado?hata ufanye nini hutafanikiwa kuwamaliza hamas au hezbollah
umbali? wewe huna utu? huoni watu wanavyouliwa?
Halafu ukute ni limme la mtu! Wanawake wanapitia mengi.Ukute hata kwenye mitihani huwa unajibu kwa kirefu hivi halafu unashangaa umekosa.
Kwanza Lecturer wengine wakishaona jibu refu hivyo huwa hawasomi maana wanajua POROJO TU
Na Africa ni moja ila Dunia ni mbilibinadamu wote ni ndugu
Kwahiyo Arrow 3, David's Sling na Iron dome ni takataka?Wanajeshi wa Marekani wanafunga mifumo ya ulinzi wa anga huko Israel tayari kwa mapambano.
Mtaomba mno maridhiano jamaa wameamua kukinukisha.
Jamaa anadhani Neta hupita-pita huku kijiweni kupoteza muda badala ya kuwashughulikia HAMAS, Hezbollah, Houths na Iran.Mkuu kwani neta ni jf member?.
Lakini hatuna Undugu kwenye vita inayoendeleabinadamu wote ni ndugu
ok tutauona ukichaa waoOngea nao kiroho na uwaambie waache kuchokoza vichaa Israeli.
kama huna udugu na binadamu wenzio hilo ni lako,mie nina udugu na binadamu wenzangu popote walipoLakini hatuna Undugu kwenye vita inayoendelea
walishindwa babu zake ataweza yeye?Jamaa anadhani Neta hupita-pita huku kijiweni kupoteza muda badala ya kuwashughulikia HAMAS, Hezbollah, Houths na Iran.
hiyo sio hoja,hoja ni udhulumati hata uwe na silahabkali vipi,atashindwa tuKwahiyo Arrow 3, David's Sling na Iron dome ni takataka?
πππ
kufa sio kumalizikaMkuu, unamwambia hataiweza Hamas wala Hezbollah ila unalalamika wanakufa?
nimevbewa na uzuzu na ulipyoto wakoUmevimbewa na nini? Mwezi wa tende na viazi si bado?
zingatia dhuluma ya miaka na miaka na ukatili wa kutisha uko wapi kati ya hayo maeneo uliyoyataja?waliuawa Iraq, waliuawa ukraine, huko sudani kila leo wanauawa, Ethiopia Somali, Haiti n. k kote huko wanauawa na upo kimya?π
HaaahaaaHalafu ukute ni limme la mtu! Wanawake wanapitia mengi.
kwa hiyo wewe upo kufurahia na kushangilia upande moja kuua watu wa upande mwingine, na ndiyo raha yako, right?zingatia dhuluma ya miaka na miaka na ukatili wa kutisha uko wapi kati ya hayo maeneo uliyoyataja?